Dr Ismaily
JF-Expert Member
- Dec 24, 2016
- 289
- 552
Kwisha habari yao nguo za orange zileee zinawaita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka kusemajeShoga haathiri tozo wala kodi yangu na wala sijawahi kusikia kuwa Viongozi wa Chama cha Mashoga wamepora matrilioni ya fedha zetu za makusanyo ya kodi na tozo
Ila kila siku utasikia CCM imepora hichi imefungua akaunti China kuficha pesa za uporaji.
Hakuna kitu kama hicho itakuwa inashangaza basi jibaba zima na kengele zake kujiingizia mivitu vitu mk****ni kama sio punga tena zoefuNa watajuaje kama hiyo hali inatokana na yeye mwenyewe kujiingiza vitu au vidole vyake? Sheria inakataza watu wawili au zaidi kushirikiana kuingiliana kinyume cha maumbile. Sasa watamfungaje mtu ambaye kwa starehe zake mwenyewe anajiingiza vitu/ vidole katika sehemu mbali mbali za mwili wake? Au alifanyiwa vitendo hivyo kwa kulazimishwa? Huu ni uonevu uliopitiliza.
Amandla...
Kijana acha Ukabila huku Nchi yako na Tozo zako Kodi yako ikiporwa na kikundi cha CCM.MBONA MAJINA YA KICHAGA?INA MAAJA ZILE TUHUMA NI ZA KWELI??
Kwanini msiwawinde wezi wa fedha zetu za tozo na kodi hadi waseme PAUSE?Sawa shoga tumekusikia, ila tukikudaka lazima useme PAUSE
Bila shaka we ni shogoYaani hata ukikutwa una marinda bado unakuwa utu na uanaume wako unakuwa umetiwa doa, watu waki imagine ulivyopimwa. Hii sheria ina udhalilishaji ndani yake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio kweli mimi kama mimi nina mashoga 5,ninaowakanda...Ambao hamna marinda hofu imetanda
Yule si nasikiaga eti analiwa na mzee naniliu?Kuna yule James delicious anajiachia sana na anajulikana kama chatoka.
Kisimi kama kimefanyaje? Kimesigika au?Whichever way ni unyanyasaji tu, na wasagaji wanapimwaje? Kwa kuangalia kisimi au?
Mkuu mwanangu hawezi kuwa shoga nakukataza,nimemlea kwa misingi ya uwanaume...ila mimi kuna muda fantasy zangu ni kula mashoga..We tulia siku yako yaja kale katoto kako ka miaka 17 katakuwa kashoga, tutakakamata na kukafunga miaka 30
Wewe naye kama ni shoga tutakukamata na kukufunga miaka 30
Msitake tuchezea hapa.
Ndio tunachotaka,ukiponea chupuchupu kimbia ukajiuze huko huko sio hapa chini kwetu,vinginevyo ni miaka 30Hawo watu wakifanikiwa kutoka salama sidhani kama wataendelea kubaki humu Nchini.
Mpuuzi MangeHalafu naona Mange Kimambi anawatafutia hifadhi kwenye ubalozi wa Marekani?Nacheka tu mwenyewe ,hawa wakienda Marekani watarudi wenyewe ,kule hakuna uswahili na lazima ufanye kazi yaani ushoga haikupi pesa ni part ya starehe tu
LabdaSiri ipo kwenye walipopatia mitaji na connection za hizo carrier zao