Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Shoga haathiri tozo wala kodi yangu na wala sijawahi kusikia kuwa Viongozi wa Chama cha Mashoga wamepora matrilioni ya fedha zetu za makusanyo ya kodi na tozo

Ila kila siku utasikia CCM imepora hichi imefungua akaunti China kuficha pesa za uporaji.
Kwa hiyo unataka kusemaje
 
Na watajuaje kama hiyo hali inatokana na yeye mwenyewe kujiingiza vitu au vidole vyake? Sheria inakataza watu wawili au zaidi kushirikiana kuingiliana kinyume cha maumbile. Sasa watamfungaje mtu ambaye kwa starehe zake mwenyewe anajiingiza vitu/ vidole katika sehemu mbali mbali za mwili wake? Au alifanyiwa vitendo hivyo kwa kulazimishwa? Huu ni uonevu uliopitiliza.

Amandla...
Hakuna kitu kama hicho itakuwa inashangaza basi jibaba zima na kengele zake kujiingizia mivitu vitu mk****ni kama sio punga tena zoefu
 
eating-taco.gif
 
We tulia siku yako yaja kale katoto kako ka miaka 17 katakuwa kashoga, tutakakamata na kukafunga miaka 30

Wewe naye kama ni shoga tutakukamata na kukufunga miaka 30

Msitake tuchezea hapa.
Mkuu mwanangu hawezi kuwa shoga nakukataza,nimemlea kwa misingi ya uwanaume...ila mimi kuna muda fantasy zangu ni kula mashoga..
 
Halafu naona Mange Kimambi anawatafutia hifadhi kwenye ubalozi wa Marekani?Nacheka tu mwenyewe ,hawa wakienda Marekani watarudi wenyewe ,kule hakuna uswahili na lazima ufanye kazi yaani ushoga haikupi pesa ni part ya starehe tu
Mpuuzi Mange
 
Back
Top Bottom