Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

Kuna ambae amekaa kidogo na kujiuliza kwa nini Ndugai hajakalia kiti leo???? Every conspiracy has a theory and any theory can have a conspiracy.
 
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi
Yaani Lizabon na wapambe wako ni kama Mende. hamjielewi na mko kizombie zombie tu. masuala muhimu yanayohusu taifa mnafanya mizaha ya kipunguani mkijua fika mnatetea uovu na us..ceng.e wa CCM kukwapua kila kitu . mnaona wezi ni mashujaa misahau majukumu yenu ya kutetea taifa hili linaliwa wa mafisadi (CCM Heros). Huelewi kesho yako wala ya familia yako wa ndugu zako achilia mbali vizazi vijavyo. CCM hamna aibu na sasa mko uchi mnajitetea kujifunika kwa mikono isiyositiri. Mnatumia maneuvers kuhadaa uma ila mtaumbuka tu kwa ushe...nz.. i wenu na ulafi. Kila kitu mmeiba na kujimilikishia kana kwamba taifa halina wananchi. Na kwa taarifa yenu mtaumbuka tu. Walio wengi sasa wanazidi kuamini wapinzani wa kweli ila hao mliowafanya vilaza kama vijana wengi wa CCM walivyo ndo mtawadanganya. Majority of Tanzanians are hating you much .
 
Ndugai alitaka kuosha jina ndo maana akaruhusu mjadala apate sifa za jf,lakini sidhani kama kuna barua
 
hahaha! Ukweli ni kwamba barua hiyo ulishapelekwa ofisi za bunge na ilishapokelewa na mkakati ilikuwa ni kuzuia mjadala kwa kisingizio kuna case mahakamani!

Mh pinda alikuwa ana andaa mazingira ya kuwasilishwa rasmi hiyo barua..hali ya Jana na umoja walio uonesha wabunge umefanya barua hiyo hikanwe!
 
Lizaboni nadhani atakuwa ni Makonda lazima.
 
Mh kumbe wote tumelogwa na Marehemu.

Hivi Pida kwa nafsi yake aliyonayo katika nchi naye alikua anajibu issue ya barua ambayo haipo? Mbon nashindwa kuelewa hapa.Pnda si ndio President Kwasasa?

who is fooling who?

Da kweli anaweza kuwa Rais Pinda kwa sasa wakati JK yupo hospitalini!
Je kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa ni nani ameshikia usukani ama nchi inaendeshwa kutokea Marekani?



Sent from my iPad using JamiiForums
 
Majibu ya Mtoto wa mkulima ndo yaliibua hasira za wabunge... perception ikabadili hali ya hewa kila mtu akahisi kuwepo barua.

Mjadala ukiwapo, aibu yao itakuwa haisemeki... Andaa pop corn na juice ya ukwaju tu FaizaFoxy

Nnautamani huu mjadala wa escrow uwe leo kabla ya kesho.
 
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi

Kweli ukubwa wa kichwa sio wingi wa akili, sasa akina Mbatia wanaingiaje hapa? Jana wabunge wote walisimama kidete kwenye jambo hili mpaka spika mwenyewe ila wewe umewaona kina Mbatia? Stupid, shameless and nonsense person I have never seen in social media.
 

Porojo hizo.
 
Hivi huyu Lizaboni ninani, ni Mtanzania? Manake sijawahii kuona hata siku moja akichangia hoja yeyote positively.

Si ajabu ukimwambia anakunya atakataa akuambie yeye hanyagi?

This is very serious. He is always negative in everything!

Lizaboni ni Kuchi wa CCM
 

ha ha haaa
 

hebu tuache wendawazimu,
naibu spika aliruhusu mjadala wa barua ambayo ofisi yake haijaipokea??

Naibu spika hakuruhusu chochote kuhusu barua yoyote na ndiyo maana Tundu Lissu alirudia mara kumi "kama ipo".
 
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi

Mchawi ukimwambia wazi mbele za watu kuwa yeye ni mchawi basi hawezi kukuloga tena. Hiki ndicho walichokifanya akina Lissu.
 
tunataka barua hakuna cha kusema kama ipo,wasingeenda kwenye vyombo vya habari kutangaza,tunataka kujua nani muongo,waliosema kuna barua toka mahakamani na wanaokana hamna barua kutoka mahakamani. lisiwe bunge la kisanii. TRURH WILL ALWAYS PREVAIL

suala sio kama barua ipo au haipo! suala ni #BringBackOurMoney
 
Kama mna hakika kuwa barua hiyo ipo mbona hamjaiweka kwenye mtandao?

lizaboni una moyo wa chuma. pamoja na kwamba hujaonja chochote lakini bado umesimamia upande wa mapanya wanaosaga rasilimali za walalahoi. ama kweli we ninouuma na kinachokufanya ubwa..bwa.je humu ndani ni kwa kwa sababu wadau hawajui hata sura yako ikoje? maana tunaweza kufikiri tunajibizana na mtu kumbe zi..mwi..mtu acha mi nsepe tu nihamie uzi mwingine :car:
 
Serikali sasa iunde wizara ya kukanusha na prof kikwete ateue waziri wa ukanushaji!
 
Iyo mahakama yenyewe nayo inaogopa sasa kubebeshwa msalaba, Tundu lissu aliahidi kama kuna barua na muswada hautasomwa bungeni ccm wangekiona cha moto huko nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…