Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Hata Mimi nimeshangaa Sana mmakonde kumbe kichwani hazimo kbsaKajala 1
Kajala 2
Unakopea mkopo ukahonge magari mademu awwww lazima KITAKURAMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi nimeshangaa Sana mmakonde kumbe kichwani hazimo kbsaKajala 1
Kajala 2
Unakopea mkopo ukahonge magari mademu awwww lazima KITAKURAMBA
Lakini inaelekeaUna uhakika gani kama na yeye hana madeni?
Mbona kama unateseka😂Ningependa ulete za Ommy dimpoz nae... Maana anawaweka roho juu sana vijana wetu. Usikute hata gari hana yule mshamba 😂
Chief kaanza mbali kujitafuta hahaaaa
Huyu namjuwa tokea anasoma kumbukumbu pale wakati huo naishi nyumbani blok 41,kundi lao walikuwa na Joan pia na mwenzake mmoja anaitwa RoseAlianza utundu zamani, Wakati huo kabinti alikuwa anakaa kwa mjomba wake oysterbay polisi kota Kila siku vikao kwa usumbufu
Alidanganyia tu kwa kupata mkopo lakini huenda akitaka kugombea UbungeWasanii wetu wanahitaji elimu ya fedha. Kweli 300M ya mkopo unaenda kuweka kwenye biashara ya muziki huu wa bongo?
Kivipi? Hakuna asiye na pesa, viwango tuNilishangaa kusikia Aslay hana PESA .
Kumbe wewe unamjua vizuri sanaHuyu namjuwa tokea anasoma kumbukumbu pale wakati huo naishi nyumbani blok 41,kundi lao walikuwa na Joan pia na mwenzake mmoja anaitwa Rose
Hawa hawazeeki bana
Pale osterbay alikuwa anakaa kwa baba yake polisi mzee masanja na mama yake pia alikuwa polisi
Washaastafu sahv wanakaa mbezi makoka huko
Huyu kajala kaanza kusasambua kitambo sana wakati huo kwenye beach party unawakuta,pale langata club asset washafanya sana vurugu...anyway sahv wageni wanamuona kama toto la jana 😄
Kajala ana udongo mzuri bana
Harusi yao na faraji walifanyia pale police mesi ilikuwa balaa yaani,pombe tulibeba bana na kuondoka nazo
Sema ndy hivyo kwa upande mwingine naona faraji kama aliharibu future yake kuangukia kwa Huyu mdogo wangu na ktk watu waliomuonya huyu faraji mm mmoja wapo sema mtu akikolea bwana kumzuia ngumu sana
Ova
Uishi na kajala usit3geme atakuongoza zaidi ya kutaka kula bata
Amulize yule faraji aliyekuwa benki
Alipiga hela akaishia jela
Faraji katoka ila kajichokea yuko tbt huko 😄
Ova
Namjuwa vzr,hako ka Paula knasoma vidudu tunampa lift mama yake anamfata pale shule ya watoto regent mpaka kaanamia kwanza kule Rose garden tunakafata leo hii eti kawa mama 😄Kumbe wewe unamjua vizuri sana
Faraji kapiga hela benki ile msalaBora Majani alistukia mapema akakimbia.
Elimu elimu, ukichanganya na usela ma... Ndio kina mponza jamaa,Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Umelaaniwa!Duuu ualimu kibongobongo ni laana kweli usifanye masihara Kopa huo mkopo ndo utaelewa kwanini ualimu ni laana
Watu aliokuwa nao kajala wengi aliwatia matatizoni ,hata Pfunk na yeye kuna kipindi alichoka sana mpaka kesi yake ile aliyolipwa 100m ndiyo akarudi tena.Faraji kapiga hela benki ile msala
Kajala alikuwa anajirusha tu,alafu unajuwa kajala baada ya kubanwa ndy alimkamatisha jamaa
Kingkong niko kwenye utawala wangu sahv napunguza pombe mwilini,nko mjini sahv
Ova
Na wanafanya upuuzi kwakuwa wana backup ya wanasiasa wakubwa nchini, sijui walitumia vigezo gani kumpa mil300Mheshimiwa atamlipia
Kwamba utastaafu 21/7/2047....means una miaka 37.Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.
Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
Yule hafikiri maendeleo yeye ni kujirusha tu kwa pesa alizopewaWatu aliokuwa nao kajala wengi aliwatia matatizoni ,hata Pfunk na yeye kuna kipindi alichoka sana mpaka kesi yake ile aliyolipwa 100m ndiyo akarudi tena.
Morocco hapo mbele kabla ya biafra....Safi maisha yenyewe ndiyo haya haya.