Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Chief kaanza mbali kujitafuta hahaaaa

Ni kama huyu wa chini.

1723960768660.png

1723960814824.png
 
Alianza utundu zamani, Wakati huo kabinti alikuwa anakaa kwa mjomba wake oysterbay polisi kota Kila siku vikao kwa usumbufu
Huyu namjuwa tokea anasoma kumbukumbu pale wakati huo naishi nyumbani blok 41,kundi lao walikuwa na Joan pia na mwenzake mmoja anaitwa Rose
Hawa hawazeeki bana
Pale osterbay alikuwa anakaa kwa baba yake polisi mzee masanja na mama yake pia alikuwa polisi
Washaastafu sahv wanakaa mbezi makoka huko
Huyu kajala kaanza kusasambua kitambo sana wakati huo kwenye beach party unawakuta,pale langata club asset washafanya sana vurugu...anyway sahv wageni wanamuona kama toto la jana 😄
Kajala ana udongo mzuri bana
Harusi yao na faraji walifanyia pale police mesi ilikuwa balaa yaani,pombe tulibeba bana na kuondoka nazo
Sema ndy hivyo kwa upande mwingine naona faraji kama aliharibu future yake kuangukia kwa Huyu mdogo wangu na ktk watu waliomuonya huyu faraji mm mmoja wapo sema mtu akikolea bwana kumzuia ngumu sana

Ova
 
Huyu namjuwa tokea anasoma kumbukumbu pale wakati huo naishi nyumbani blok 41,kundi lao walikuwa na Joan pia na mwenzake mmoja anaitwa Rose
Hawa hawazeeki bana
Pale osterbay alikuwa anakaa kwa baba yake polisi mzee masanja na mama yake pia alikuwa polisi
Washaastafu sahv wanakaa mbezi makoka huko
Huyu kajala kaanza kusasambua kitambo sana wakati huo kwenye beach party unawakuta,pale langata club asset washafanya sana vurugu...anyway sahv wageni wanamuona kama toto la jana 😄
Kajala ana udongo mzuri bana
Harusi yao na faraji walifanyia pale police mesi ilikuwa balaa yaani,pombe tulibeba bana na kuondoka nazo
Sema ndy hivyo kwa upande mwingine naona faraji kama aliharibu future yake kuangukia kwa Huyu mdogo wangu na ktk watu waliomuonya huyu faraji mm mmoja wapo sema mtu akikolea bwana kumzuia ngumu sana

Ova
Kumbe wewe unamjua vizuri sana
 
Bora Majani alistukia mapema akakimbia.
Faraji kapiga hela benki ile msala
Kajala alikuwa anajirusha tu,alafu unajuwa kajala baada ya kubanwa ndy alimkamatisha jamaa
Kingkong niko kwenye utawala wangu sahv napunguza pombe mwilini,nko mjini sahv

Ova
 

Attachments

  • 20240818_091738.jpg
    20240818_091738.jpg
    1.5 MB · Views: 2
Mazuri ya kujifunza kwa Harmonize!

1. Msela ana uthubutu na ujasiri.

2. Anajitambua na amejipata.

3. Funguo za mafanikio anazo na anaifahamu milango yenye fedha.

4. Rafiki mkubwa wa benki na ndio maana CRDB wamempa mkopo na wakamuongeza tena ila inawezekana amefanya urafiki na benki nyingine tofauti ndio maana CRDB wakastuka na kuchukua hatua! Ndio maana walitaka pesa za biashara zipitie kwa akaunti ya CRDB.

5. Uwezo na nia ya kulipa deni upo na anao isipokuwa amepuuza kufanya mawasiliano hicho ndio kimemgharimu.

Mengineyo, tujiulize mimi, wewe na yule wanayeshadadia kumkandia msela, je, tunaweza kupata mkopo kama wa msela CRDB? Je, wewe au mimi ni rafiki wa benki?

Tukubali au tukatae jamaa ni mwamba amewazidi uwezo wa kukopa madaktari, walimu, manesi na wataalamu wengine. Badala ya kumnanga msela tumpeni maua yake.

By the way issue yake ni ndogo sana kama mbegu ya haradali, kesho jamaa akiweka mzigo kwenye akaunti ya CRDB anakaribishwa kahawa na kashata au juice kwenye ofisi ya meneja wakigonga cheers kama premium customer. Kwa hiyo jamaa hapangi foleni akifika benki kama watumishi wengine au mapolisi na wanajeshi wanavyopanga foleni.

Tuweke akiba ya maneno sababu mimi na wewe hatujui msela amepitia changamoto gani hadi ikatokea hivyo.
 
Faraji kapiga hela benki ile msala
Kajala alikuwa anajirusha tu,alafu unajuwa kajala baada ya kubanwa ndy alimkamatisha jamaa
Kingkong niko kwenye utawala wangu sahv napunguza pombe mwilini,nko mjini sahv

Ova
Watu aliokuwa nao kajala wengi aliwatia matatizoni ,hata Pfunk na yeye kuna kipindi alichoka sana mpaka kesi yake ile aliyolipwa 100m ndiyo akarudi tena.

Morocco hapo mbele kabla ya biafra....Safi maisha yenyewe ndiyo haya haya.
 
Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.


Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
Kwamba utastaafu 21/7/2047....means una miaka 37.

Hongera mkuu, Mwalimu mwandamizi.
 
Watu aliokuwa nao kajala wengi aliwatia matatizoni ,hata Pfunk na yeye kuna kipindi alichoka sana mpaka kesi yake ile aliyolipwa 100m ndiyo akarudi tena.

Morocco hapo mbele kabla ya biafra....Safi maisha yenyewe ndiyo haya haya.
Yule hafikiri maendeleo yeye ni kujirusha tu kwa pesa alizopewa
Na kuhongwa angeamua kufanya
Mambo ya maana angefanya

Ova
 
Back
Top Bottom