Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Sijui huo ukoje ila mimi nimekopa CRDB Kwa dhamana ya ajira, mkopo ulikuwa 6,000,000/= (miaka miwili)
Makato kwa mwezi ni 285,000X24=6,840,000
Riba hapo Kwa miaka miwili ni asilimia 14
mie walinikopesha nililia na mkopo lipaaa weee mkopo hauishi nikapata vihela nikawalipa vyote, oh eti tukupe tena! Fakaoff
 
Inaelekea hao crdb siyo makini kabisaa.

Loan manager aliyeidhinisha huo mkopo inafaa awajibishwe

Walimpa pesa ya kut#mbea kashafanya kweli, wao wanaanza kulialia, akiwalipa atahonga nini? Watulie tuli, na ndiyo wajue siyo kila mtu ni wa kukopesha
 
"......Kajala one two tena zote ni range........" kumbe bank inakudai 190m,hizi nyapu ukiziendekeza lazima kuna siku zitakupoteza.

Unaleta usela mbele ya taasisi kubwa,sasa ni mda wa kupambana na sheria na bank zinajua kudai hazinaga masihala.
 
Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Duuu na huyo Mchaga alimwachia? Naona sasa hivi yule mdangaji aliyekuwa naye Posh anatafuta namna ya kuachana nae,kwani maslay queen na njaa ni vitu viwili tofauti.
 
Dhamana ilikuwa kajala, Sasa kajala kaingia mitini
 
Sijui huo ukoje ila mimi nimekopa CRDB Kwa dhamana ya ajira, mkopo ulikuwa 6,000,000/= (miaka miwili)
Makato kwa mwezi ni 285,000X24=6,840,000
Riba hapo Kwa miaka miwili ni asilimia 14
Chief inabidi nijifunze hizi riba za traditional banks.

6M unakaa nayo kwa miaka 2 na unarudisha 840K tu riba hii ni affordable kwa ninavyoona na bank haitatengeneza maximum profit.

Kwa hesabu ninazojua inatakiwa ulipe 7,680,000
 
Kama kijana ninafikiri harmonize is worth more than 300M ila kwa kuwa anadaiwa ni vyema akawa na team nzuri kutafuta endorsement mbalimbali, hata hapo CRDB anaweza kupata Dili la 500M

Kingine awe na mhasibu na wanasheria wamshauri vizuri.

Ukisoma hukumu alitakiwa kuwajibu kiungwana na kuomba rejesho lipunguzwe lakini alipuuzia. Kama huyo ni harmonize wasanii wetu bado Sana 😃😃Mtandale anafanyaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…