Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Uwa najiuliza mbona wengine wakishindwa kulipa mkopo mali zao zinashikwa na kuuzwa na wengine wanabembelezwa .Tofauti ni nini
Ina tegemea na makubaliano, unaweza kuta walimpa mkopo bila ya security ili awe balozi wao ila mkopo arudishe, so hakuna cha kuuza zaidi ya kulazimisha alipe
Akishindwa kulipa, ndio hapo unaenda kuomba mahakamani kukamata mali zake ziuzwe kulipa deni
 
Huyu jamaa kila siku nasema ni bwege, kwanza alienda kukopa magari amuhonge Kajala, afu alipoachwa akaanza kusema ana roho nzuri eti amemwachia gari na deni bado analipa, kiuhalisia kajala alimuwahi kwenye kadi vinginevyo angempokonya gari zote. Pia kulipa ilikuwa ni lazima kuficha aibu kwani kama asingelipa wenye gari wangelifata kwa Kajala na Harmo angedhalilika zaidi. Huyu dogo ushamba mwingi sana.
 
Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.


Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
😂😂😂😂
 
Mama ake Faraji kahangaika sana tena sana
Faraji aliletwa amana kutibiwa
Akiwa chini ya pingu,nkafanya mchongo tukamvisit na mama yake alikuwepo...
Mama kuna maneno aliongea pale ya busara sana ni kama alimony mwanawe kuhusu uhusiano wake na yule K
Faraji alikuwa smart sana kichwani,ange stick na taaluma yake na ku concentrate na ajira
Yake mpk leo angekuwa mbali sana...ila kutaka hawa viumbe wa kwenye luninga pasuaaa

Ova
 
Faraji aliletwa amana kutibiwa
Akiwa chini ya pingu,nkafanya mchongo tukamvisit na mama yake alikuwepo...
Mama kuna maneno aliongea pale ya busara sana ni kama alimony mwanawe kuhusu uhusiano wake na yule K
Faraji alikuwa smart sana kichwani,ange stick na taaluma yake na ku concentrate na ajira
Yake mpk leo angekuwa mbali sana...ila kutaka hawa viumbe wa kwenye luninga pasuaaa

Ova
Ndio shida ya kutaka slay queen
 
Kama kijana ninafikiri harmonize is worth more than 300M ila kwa kuwa anadaiwa ni vyema akawa na team nzuri kutafuta endorsement mbalimbali, hata hapo CRDB anaweza kupata Dili la 500M

Kingine awe na mhasibu na wanasheria wamshauri vizuri.

Ukisoma hukumu alitakiwa kuwajibu kiungwana na kuomba rejesho lipunguzwe lakini alipuuzia. Kama huyo ni harmonize wasanii wetu bado Sana 😃😃Mtandale anafanyaje??
Mtandale yuko smart upstair na ana timu nzuri
 
Mtandale yuko smart upstair na ana timu nzuri

The guy is ahead of the time ana timu nzuri pia anajua destination yake ni ipi akurupuki

Naona yule jamaa atatawala hiki kiwanda cha music na maisha kwa muda mrefu Sana .

Smart
Humble
Financial intelligence
Good team work

Also the guy never get complacent -Ana njaa na MAISHA haridhiki
 
Back
Top Bottom