Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Pesa za vibao Godlove anatamba tu ardhi ya MolaMbwembwe zote hizo kumbe harmonize hamna kitu. Show off za kishamba. Wanaanza kuumbuka. Tunawasubiria kina chiefgolove na dj ally b.
King Kong III mrangi
We unadhani za kulipia magoli zinakazi?Mbona wengi mnasema mama atalipa? Huyo mama ana pesa zisizokuwa na kazi za kulipia watu madeni tena makubwa ya mikopo?
Mkuu fungua basi uzi wa hizi sheria ili tujifunze, itakuwa msaada sana kwa vijana wengi.Iwe kweli au si kweli Vijana wengi hatujui Sheria za Utajiri wa kudumu, tunaishi Maisha extravagant sana... We like to be noticed
Nadhani alitumia ubalozi kama dhamana kukopea mpunga huo 😂Afu aliwah kuwa balozi wa crdb,hata haoni aibu
Kumbe kuna watu(ambao sio watumishi ) wanakopeshwa pasipo kuweka mdhamana wa mali
Hahaha wewee. Subiri leo city iwafunge magoli ya kutosha.Pesa za vibao Godlove anatamba tu ardhi ya Mola
Hao watu wazito huwa wanaongia bure kwa sababu wamealikwa kwa lazima na siyo kuja kwa mapenzi yao, kwa gharama zote za mwaliko ni lazima abebe mwenye shughuli yake!!Pesa za kiingilio siku ya uzinduzi wa albamu yake pAle mliman city alipeleka wapi?..Mana watu wazito wa hii nchi wote walikuwepo
✓ mwaposa
✓mama Samia
✓ mawaziri na viongozi wengine kibao...
Harmonize Anatamba na wimbo wa Yanga ardhi ya Mola hiiHahaha wewee. Subiri leo city iwafunge magoli ya kutosha.
Mkuu hiyo 32 sio pamoja na riba?Upuuzi kabisa mtu unakuta anatamba eti kazi ya ualimu ni kazi ya Laana,Sasa tangu nizaliwe sijawahi sikia mwalimu kafikishwa mahakamani Kwa kushindwa kulipa mkopo wa benki au kauziwa assets zake Kwa kushindwa kurejesha mikopo ya benki.
Sasa Harmonize kashindwa kulipa M 100,Huu upuuzi,Sitaicha kazi ya ualimu kamwe,hapa navuta Muda nije niende nikavute mpunga M 32 nione mtu ananilaumu Kwa kutegemea mikopo , nijivinjari zaidi.Asante Mungu kwa kazi ya ualimu,Kiufupi huwezi toboa maisha bila kukopa ,kama unakopesheka kopa
Wanasemaga hizi ndo tabia za harmonize, hii picha nliona kule insta kwenye page ya jumalokole if am not mistaken, wazee ya kweli haya 😁 BICHWA KOMWE - Nifah mrangi Mzee wa kupambaniaIle nyumba ya engineer nani!
Kutwa kuvimba yake
Wasani tatizo wanaishi kwa kufake
Huyo sana sana madem wanamlia tu
Asione msambwanda huyoooo
Ova
inabidi bank waweke afidavit mtu akiri kwanza kama ana mwanamke mwenye msamwanda, vinginevyo ni kuharibu emage za makampuni tu, hivi unamkopeshaje mtu ana misururu ya mademu wenye makalioWaliambiwa wakope,komba mwenyewe pesa nyingi zilikuwa zinaishia kwa Totoz
Mkopo unataka nidhamu
Ngozi nyeusi mkopo hela hiyo anataka ahongee,anunue magari ya kifahari nk unafikiri kuna kutoboa hapo
Ova
We sio gaby ,?Rajab ni mtata kwenye hela za watu, sifa kibao na ulimbukeni bado haujamtoka.
Nikikumbuka vile tulipewa pesa na tajiri fulani pale .... casino tugawane, jamaa alivyoleta tamaa kutaka kuchukua hela mingi kuliko sisi shenzi kabisa.
Hallelujah!!!
Kanogewa na robotic machine au nini, ikiwa Ke mwenyewe kwa nnje ni AM, je ndani?Posh queen anakwamisha rejesho.aJamaa kanogewa