YooowyoowJeshiii
Jamaa hata yule msanii wake wakike alikua analalamika anafanyishwa show ila halipwiHarmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
laki 8 na 80 ipo kwa wateja biashara yako inaendeleajeHarmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
Umenifanya nikaimba neno kwa neno, nimecheka.Ni Ujinga nikadondokea umachinga,hapo ndipo akili ikaanza kukomaa na nikajuta kwanini sikusoma kwa jinsi jua la la utosi linavyochoma.
Kama utani nikaanza kuimba ,Mungu si athumani nikakutana na simba akanipa kampani ila kuna wengine waliopinga eti sina kipaji wakashindwa kuelewa mola ndiyo mpaaji.
JESHI hiyo mistari inanipa morali ya kupambana sana...ebu lipa madeni buana uza hata LC300 moja ,kugombana na mabank inakuharibia future yako.
hajawahi kusikia taarifa za madaiUna uhakika gani kama na yeye hana madeni?
Nyama unauza kilo shiling ngap na imekuaje mpaka ikafika hiyo yote?Harmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
Tatizo wakati wa kulipa Jiwe akaondoka, angekuwepo sidhani kama tungefikia hii hukumu.Mkuu umesahau kwamba MAGU alikuwa anamkubali KONDE kinoma? Possible KONDE alitoa proposal kwa JIWE then JIWE simu moja kwa KIMEI ,kimei akatoa KIBUNDA.
Ila kwa kuwa mama anamuelewa sana, atamlipiaUnakopa hela ya biashara unaenda kumtrombea Kajala.pumbavuu
Hapa kazingua, hili ni doa kwenye taaluma yake.Mbwembwe zote hizo kumbe harmonize hamna kitu. Show off za kishamba. Wanaanza kuumbuka. Tunawasubiria kina chiefgolove na dj ally b.
King Kong III mrangi
Kujenga na hauzikwi na nyumba yako ni uzuzu!Mil.300.. wanategemea kabisa atailipa...dah benk sometimes huwa wanawa overate Sana Hawa wasanii wanasahau huwa maisha yao ni fake...kwa 100%
Ungeamini kanumba amekufa Hana hata chumba chake alichojenga?..
Usiamini kila unachokiona Mkuu, kila mmoja ana siri katika maisha yake.duwh juz kati nilikutananae classic mall yuko na range moja matata kaingia crdb moja kwa kwenye getto la branch manager tukasema dah mwamba kishapita level za kukaa kwente mnyororo yeye fungu anaenda kuchukulia kwa wakubwa kabisa.
kumbe muhuni ana majanga makubwa kuliko sisi
Hata wakati wa kuondoka Wasafi alilipa nusu tu, halafu akatumia nguvu ya Pombe akaondoka bila kumalizia hela iliyobaki.Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Hivi taaluma ni nini kwa kiswahili?Hapa kazingua, hili ni doa kwenye taaluma yake.