Pole sana Mkuu, na huwa wanatumia karata yao ya umaarufu kutapeli watu bila kujua wanajiharibia wenyewe.Harmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
hawana lolote hao CRDBKwa crdb kayakanyaga itamtokea puani
Soma vizuri, deni limebaki milioni 100 Mkuu. Japo kuna faini na gharama za kesi ambazo anatakiwa kulipa nafikiri hazifiki milioni 300.Mil.300.. wanategemea kabisa atailipa...dah benk sometimes huwa wanawa overate Sana Hawa wasanii wanasahau huwa maisha yao ni fake...kwa 100%
Ungeamini kanumba amekufa Hana hata chumba chake alichojenga?..
Unataka nijibu nini 🤣Mkuu shukrani sana kunitambua kawaida tu.
Ebu nikumbushe jina lako vile!
kwa hana collateral?,mpaka awe published.Kwamba nini Mkuu?
hana collateral kwani?Not defamation, huwa linaeskuta hata wasanii wa nje, but in this case ni irs
Kipindi hiki cha Uchaguzi ccm hawakumlipa?kushindwa kulipa kikamilifu mkopo wa kiasi cha shilingi milioni 300 alizokopa katika benki ya CRDB mwaka 2019.
Je na huyu naye mtasema ni Mwalimu?Mkopo huo uliokuwa na riba ya 18% ulielezwa na msanii huyo kama uwekezaji kwenye shughuli zake za kimuziki ikiwemo studio ya kisasa ya uzalishaji wa muziki na video, ulikuwa ulipwe ndani ya miezi 36 (miaka mitatu).
Na ulikuwa mkopo wa awamu mbili, ya kwanza ikiwa milioni 100 kisha awamu ya pili milioni 200 ambazo awamu zote alipewa na benki hiyo mwaka huohuo wa 2019.
Mgerasi Bush lawyer acha sound na fix jamvin.Kumbe kesi yenyewe imesikilizwa upande mmoja/ exparte
Hapa Armo anarudi kwenye kesi akitoa sababu za msingi wanatudi interparties kesi isikilizwe pande zote mbili
Kumbe alifanya huo ujinga? Sasa Jembe si ana uzoefu wa mambo ya studio kutokana na kumiliki redio kwanini hakumpa ushauri wa kumsaidia?Vijana wengi ofisi haziendelei mana hakuna mipaka kati ya hela ya ofis na maendeleo na pesa ya bata. Hii kitu inafelisha wengi sana. Kavhukua milion 100 za studio kali afrika masharik na kati kaenda kununua mitumba ya kina stukiiizi pale kinondoni kila wiki anaipeleka maintenance
Huyu tapeli, kuna matapeli wako nyuma yake wanamtumia
Na maslay queens huwa wanaingiankwenye huu mtego na kuanza ku Chase wazee. Wanasahau kuwa hawa ni wasanii na maisha yao ni ya kisanii 50%muziki wa bongo unalipa sana.cheki harmonize kamuhonga kajala range mbili.ila ukweli mmh.ndo maana mimi nina sema.MIA YA KWANGU.