Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Harmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
Pole sana Mkuu, na huwa wanatumia karata yao ya umaarufu kutapeli watu bila kujua wanajiharibia wenyewe.

Kama kuna ambako anakopa nyama sasa hivi muuzaji akiona hii hatoendelea kumkopesha tena.
 
Kwa crdb kayakanyaga itamtokea puani
hawana lolote hao CRDB

wangekuwa wanajua banking and lending wangeshikilia dhamana

Konde Boy, wapige kisawa sawa hao wasomi uchwara wa CRDB

Walikutaka ufungue akaunti ya. biashara ili waone miamala yote ya maokoto na ma bills ya kampuni.

Biashara went burst, and they see all the accounting records, what they what you to do, rob the bank to pay the bank ?

Wamezoea predatory lending kwa wanyonge wasio na sauti. Konde, kaza hapo hapo. We don't commiserate with these predatory banks. Eff them!
 
Mil.300.. wanategemea kabisa atailipa...dah benk sometimes huwa wanawa overate Sana Hawa wasanii wanasahau huwa maisha yao ni fake...kwa 100%

Ungeamini kanumba amekufa Hana hata chumba chake alichojenga?..
Soma vizuri, deni limebaki milioni 100 Mkuu. Japo kuna faini na gharama za kesi ambazo anatakiwa kulipa nafikiri hazifiki milioni 300.
 
Mkopo huo uliokuwa na riba ya 18% ulielezwa na msanii huyo kama uwekezaji kwenye shughuli zake za kimuziki ikiwemo studio ya kisasa ya uzalishaji wa muziki na video, ulikuwa ulipwe ndani ya miezi 36 (miaka mitatu).
Na ulikuwa mkopo wa awamu mbili, ya kwanza ikiwa milioni 100 kisha awamu ya pili milioni 200 ambazo awamu zote alipewa na benki hiyo mwaka huohuo wa 2019.
Je na huyu naye mtasema ni Mwalimu?

Maana walimu tunaonewa sana.

Kajala kala pesa ya mkopo😆😆😆
 
Vijana wengi ofisi haziendelei mana hakuna mipaka kati ya hela ya ofis na maendeleo na pesa ya bata. Hii kitu inafelisha wengi sana. Kavhukua milion 100 za studio kali afrika masharik na kati kaenda kununua mitumba ya kina stukiiizi pale kinondoni kila wiki anaipeleka maintenance
Kumbe alifanya huo ujinga? Sasa Jembe si ana uzoefu wa mambo ya studio kutokana na kumiliki redio kwanini hakumpa ushauri wa kumsaidia?
 
Back
Top Bottom