Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 🤣 5 yrs Jeshiii kashindwa kulipa 100m daaah...Jeshiii
Ndio maana mimi napenda kujilimbikizia knowldegde kabla sijatoboa.Iwe kweli au si kweli Vijana wengi hatujui Sheria za Utajiri wa kudumu, tunaishi Maisha extravagant sana... We like to be noticed
Kwani Mkuu mkopo ni kosa? Kosa ni kutokulipa tu.Harmonize kazi kuponda raha na wanawake kumbe fedha za mikopo, walinzi kibao kwa fedha za mikopo alafu halipi, kweli Mungu akunyime nyote akupe akili..!! Kwa CRDB, atalipa tena akiwa gerezani, mwache afanye utani
fiIla Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Mkuu, ungemuona huyo mzee ungejisikia vibaya. Mzee alihojiwa na media siikumbuki, alikuwa na dalili za ugonjwa kama ule wa Lowassa hivyo alikuwa na kliniki hosp ambako alikuwa anatumia pesa nyingi.Dah mwenye nyumba nae mbwege alisuburi deni likue hivyo kama miezi 6 hajalipa si unamtoa nduki.
Si pale kwakina basilla mwanukuzi pembeni ya mondi au mana mm nishakula yule beki mnyaturu ambae kuna siku alipost ni mjamzitoIla Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.