Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Unataka nitumie alichoninunulia bibi Yako au?Na hapa ni unatumia kishikwambi cha serikali kuombea huu mkopo 😅
Sikua nimetarget violence chief. Samahani sikujua itakukeraMkuu Unataka nitumie alichoninunulia bibi Yako au?
Sawa mkuu,next time andika tungo zisizoleta maana tata,by the way hata Mimi siku target violence ndo maana nimeuliza swali,je neno bibi ni violence!?Sikua nimetarget violence chief. Samahani sikujua itakukera
Ni kwavile hapa tupo mimi na wewe nafikiri siyo fair kumtaja mtu ambaye hayupoSawa mkuu,next time andika tungo zisizoleta maana tata,by the way hata Mimi siku target violence ndo maana nimeuliza swali,je neno bibi ni violence!?
Wewe ulipoitaja serikali ,ilikuwepo hapa!?Ni kwavile hapa tupo mimi na wewe nafikiri siyo fair kumtaja mtu ambaye hayupo
Na bado wanaamin kuendelea kuwekeza kwenye kumiliki studio na media TUWasanii wetu wanahitaji elimu ya fedha. Kweli 300M ya mkopo unaenda kuweka kwenye biashara ya muziki huu wa bongo?
Serikali siyo mtu.Wewe ulipoitaja serikali ,ilikuwepo hapa!?
Ikawaje sasa, tatizo ni kuwa anataka apae haraka haraka.Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Serikali sio mtu!? Hebu jifunze hapa kidogo hapa,serikali ni kundi la watu ambao wanawajibu wakuongoza,kusimamia na kuelekezaSerikali siyo mtu.
Yap! Ilijulikana kabisa ule umbwa usingemwacha salama! Baada ya kufyeka mkopo ukamwona hana faida tena kwake; huooo! Apambane na hali yake sasa.Pisi hizoo pisi hzoo nikiziona naahirisha rejesho
Kuna maelezo tofauti tofauti ya "serikali" hii uliyoisema imo pia, wakati nasoma Politics tuligewa definitions zaidi ya 6. Halafu zote hazijajitosheleza.Serikali sio mtu!? Hebu jifunze hapa kidogo hapa,serikali ni kundi la watu ambao wanawajibu wakuongoza,kusimamia na kuelekeza
Sio vizuri kumwanika huku, alikupa utamu ulistahili kukaa kimya.Si pale kwakina basilla mwanukuzi pembeni ya mondi au mana mm nishakula yule beki mnyaturu ambae kuna siku alipost ni mjamzito
Lakini urudisheUsipokopa ujue huna akili......full stop 🛑