Yani kufatilia siasa unaweza umwa kichwa
 
Quality/performance wa state prosecution team leaves much to be desired compared to the team which was prosecuting Mbowe. Does this has anything to do with remunerations????
 
Form 4 mwenye ziro amepewa nafasi yakuandaa mashitaka magumu akati wamezoea kuandaa kesi zamchongo wizi kuu
 
Endelea na imani hiyo sisi tunajua ni mtu saafi maana hajakutwa na hatia. Shida yenu mnaamini ya kusikia tu, ulimuona? Kwa nini hukjapeleka ushahidi ili ahukumiwe?
 
😂😂 kwa hiyo hajaingilia means Sabaya ni mwema maana ni maamzi pure ya mahakama. Tusisumbue vijana mahabusu huku hatuna ushahidi kwa mashtaka yao, mlistahili kumlipa Sabaya. Mkikuta mtu alikuwa kipenzi cha rais basi rais akitoka mnataka mmtendee mabaya.
 
Yani sabaya afanye kazi nzuri ya chama then tumtose?haiwezekan
 
Hizi kesi za Sabaya naona serikali baada ya kuona Sabaya amenyoshwa kiasi sasa inaziagiza mahakama zimuachie tu huru hata hii ya Moshi nahisi itakuwa hivyo hivyo tu.

Tanzania tuliamua kuua kabisa mfumo wa mahakama na kufanya rais ndiyo awe mahakama na bunge vile vile.
 
Kama amesingiziwa basi alipwe na fidia.
 
Kina cha maji kinapimwa kwanza na kuuangalia upepo huku watanzania wakiandaliwa kisaikologia ili hatimaye waweze kupokea maamuzi ya kuachiwa huru kwa Sabaya!! mi naona aachiwe tu maana tayari tumeshaandaliwa vizuri kisaikologia!
 
Lengai Ole Sabaya bila shaka angeachiliwa huru tarehe 31 May 2022 kama hukumu yake iliyosomwa 10 June 2022 ingesomwa 31 May 2022.

Hivyo sababu ya Hakimu kuahirisha siku hiyo kusoma hukumu sio kwamba alikuwa na kazi nyingine bali ni ili kupisha na kufanikisha nia ovu ya Kweka na Ndugu zake ili kufungua kesi nyingine dhidi ya Sabaya na wenzake huko Moshi huenda wakiamini watamuumiza kwa urahisi.

Kesi yake ya pili Arusha ilikuwa ya uhujumu Uchumi, na hii ya tatu Moshi chini ya huyo huyo Naibu DPP Kweka bado ni ya uhujumu uchumi. Utafikiri Kweka alipewa hicho cheo ili kumshugulikia Bwana Sabaya.


Hadi sasa hadi kipofu anaweza ona hizi kesi hazina mzingi wowote wa kisheria bali matumizi mabaya ya madaraka anayofanya Kweka ili kutimiza malengo ya Ndugu zake wauza madawa ya kulevya, watengeneza pesa feki, majambazi, wezi wa magari.

Kweka napenda tukueleze kuwa endelea kutumika na hao ndugu zako brother ila utalipia wewe, mkeo, wanao, Wazazi wako, wakwe zako, michepuko yako, kaka na dada zako na hata chawa zako.
 
Wewe kipenzi cha jambazi wacha kupeleka lawama zako pasipohusika, mimi binafsi bado nashangaa mpaka leo kwanini jamhuri hawakukata rufaa kwa ile hukumu ya mwanzo ya miaka 30 aliyopewa Sabaya.

Ushahidi wa aina zote ulikuwepo pale, CCTV Camera, Sabaya mwenyewe kwenye utetezi wake alikiri kuingia kwenye eneo la mtu akiwa na silaha bila kibali, huu ulikuwa ni uvamizi, wewe mtetezi wa jambazi badala ya kuona Sabaya anaonewa, mshukuru huyo Kweka.
 
Wewe shabiki wa DJ Zero na Wachaga majambazi jueni bado tutawashugulikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…