Mahakama yapokea kisu kinachodaiwa kumchinjia mdogo wake Bilionea Msuya

Mahakama yapokea kisu kinachodaiwa kumchinjia mdogo wake Bilionea Msuya

Mke wako unaweka guarantee kabisa eti atakuzika? Seriously? Mke? Mtu mmekutana ukubwani tu tena baada ya kuona mambo yako yamenona. Siku ukiwa mkubwa utaelewa umuhimu wa ndugu.

Kuna thread ililetwa humu mke kamkimbia mume kisa jamaa anaumwa hoi.
Leo hii ukiwa pale kitandani unajisaidia haja kubwa pale, ni nani atakayekuja kukusafisha, chukulia una miaka 50?
 
Tukiachana na technically za kisheria ambazo ndizo anahangaika nazo Kibatala kumsaidia mteja wake, ni wazi huyo mjane Miriam Steven ndio aliyemwua mumewe Erasto Msuya, baadaye akaja kumwua wifi yake kupoteza ushahidi maana inaoneka mdogo mtu anajua kila kitu kuhusu kifo cha kaka yake. Huyo mbwa naye ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa, huwexi kuangamiza familia ya watu, hukuolewa kwenda kufanya mauaji ila kuendeleza ukoo wa familia ya Msuya. Wanawake wa mkoa wa Kilimanjaro wengi hawana utu wanajali mali ambazo wanaziacha hapa duniani. Angekosa nini angeendele kuioshi na mumewe? Hana akili hata kidogo, ni mpumbavu aliyepitiliza.
Technically [emoji777]

Techniques [emoji736]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu atakusaidia tu hata kwa kusimangwa na majirani au viongozi wa dini lakini sio mke. Mke hana guarantee.
Kuna 'case study' nyingi sana hapa duniani; ndio maana unavyotafuta mke/mme unatakiwa uwe makini sana, kwa sababu huyo ndio ndugu yako utakayekufa naye.
Dada yako hawezi kumuacha mume wake aje akuuguze wewe, Kaka yako hawezi kuacha mke wake aje akuuguze wewe.​
 
Mke wako unaweka guarantee kabisa eti atakuzika? Seriously? Mke? Mtu mmekutana ukubwani tu tena baada ya kuona mambo yako yamenona. Siku ukiwa mkubwa utaelewa umuhimu wa ndugu.

Kuna thread ililetwa humu mke kamkimbia mume kisa jamaa anaumwa hoi.
Fatilia kesi nyingi za mirathi uone jinsi Ndugu wanavyonyanyasa Watoto na Mke baada ya wewe Me kufariki ndipo utaelewa Ndugu zako si Watu ukishakufa.

Mke ana asilimia kubwa sana kuendeleza kizazi chako (Watoto wako) kuliko Ndugu, nina uzoefu kwa mifano mingi sana niliyoshuhudia katika Jamii.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Haki ya annate na yule mwanae itapatikana tu hata ichelewe vipi. Hata atumie hela vipii damu ya yule dada na mauaji yale ya mateso ya kuchinjwa kama kuku haitapotea kamwe
Kabisa...Haki yake itapatikana tu...
Aneth alivyokuwa mzuri jamani...

Kuna mtu ni jirani yake Kibada alinielezea ile siku mauaji yametokea anasema hata kelele hawakusikia...
 
Back
Top Bottom