Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Leo hii ukiwa pale kitandani unajisaidia haja kubwa pale, ni nani atakayekuja kukusafisha, chukulia una miaka 50?Mke wako unaweka guarantee kabisa eti atakuzika? Seriously? Mke? Mtu mmekutana ukubwani tu tena baada ya kuona mambo yako yamenona. Siku ukiwa mkubwa utaelewa umuhimu wa ndugu.
Kuna thread ililetwa humu mke kamkimbia mume kisa jamaa anaumwa hoi.
Technically [emoji777]Tukiachana na technically za kisheria ambazo ndizo anahangaika nazo Kibatala kumsaidia mteja wake, ni wazi huyo mjane Miriam Steven ndio aliyemwua mumewe Erasto Msuya, baadaye akaja kumwua wifi yake kupoteza ushahidi maana inaoneka mdogo mtu anajua kila kitu kuhusu kifo cha kaka yake. Huyo mbwa naye ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa, huwexi kuangamiza familia ya watu, hukuolewa kwenda kufanya mauaji ila kuendeleza ukoo wa familia ya Msuya. Wanawake wa mkoa wa Kilimanjaro wengi hawana utu wanajali mali ambazo wanaziacha hapa duniani. Angekosa nini angeendele kuioshi na mumewe? Hana akili hata kidogo, ni mpumbavu aliyepitiliza.
Ndugu atakusaidia tu hata kwa kusimangwa na majirani au viongozi wa dini lakini sio mke. Mke hana guarantee.Leo hii ukiwa pale kitandani unajisaidia haja kubwa pale, ni nani atakayekuja kukusafisha, chukulia una miaka 50?
Miaka 9 [emoji777]Kangaroo courts za dunia ya tatu, masikini ya Mungu, hazina uwezo wowote...
Mauaji yalitokea May, 2016
Mshakiwa akakamatwa miezi mitatu baadae, Agosti, 2016
Akasomewa mashtaka, kesi ikaanza
Yuko rumande miaka 9
Kesi inaendelea...
Ndugu atakusaidia tu hata kwa kusimangwa na majirani au viongozi wa dini lakini sio mke. Mke hana guarantee.
ndugu ndiyo watakusaidiaLeo hii ukiwa pale kitandani unajisaidia haja kubwa pale, ni nani atakayekuja kukusafisha, chukulia una miaka 50?
Ukiona mtu mzee anaoa, ujue kuna jambondugu ndiyo watakusaidia
mke anakumalizia kabisa kama una mali asepe nazo
kama huna, anasepa yeye
zaidi ya nyege mshindo hakuna lingineUkiona mtu mzee anaoa, ujue kuna jambo
Hua siamini katika kupiga ,Leo mnawapiga kesho mahakamani wanatokaHuyu Dada alikufa kifo cha kikatili sana hawa washtakiwa niliwaona keko walikua wamepigika sana Polisi waliwashughulikia sana
Fatilia kesi nyingi za mirathi uone jinsi Ndugu wanavyonyanyasa Watoto na Mke baada ya wewe Me kufariki ndipo utaelewa Ndugu zako si Watu ukishakufa.Mke wako unaweka guarantee kabisa eti atakuzika? Seriously? Mke? Mtu mmekutana ukubwani tu tena baada ya kuona mambo yako yamenona. Siku ukiwa mkubwa utaelewa umuhimu wa ndugu.
Kuna thread ililetwa humu mke kamkimbia mume kisa jamaa anaumwa hoi.
Leo hii ukiwa pale kitandani unajisaidia haja kubwa pale, ni nani atakayekuja kukusafisha, chukulia una miaka 50?
Kwenye hii Issue ya Msuya huwa nakuaminia sana..Hakuepo dar,sema alikuepo wiki moja kabla kupanga mchongo,istoshe housegirl wa marehemu,alitoroshwa kabla ya mauaji ma kupewa 10m...yupo kama shahidi na mariam ndio alimpa hizo pesa
Leta majibuSent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kabisa...Haki yake itapatikana tu...Haki ya annate na yule mwanae itapatikana tu hata ichelewe vipi. Hata atumie hela vipii damu ya yule dada na mauaji yale ya mateso ya kuchinjwa kama kuku haitapotea kamwe
Alikuwa anapambania mali alizochuma na mumewe dhidi ya ndugu walafizaidi ya nyege mshindo hakuna lingine
Bi Miriam Msuya hapo anawafunza vyema, mmoja wa mifano hai kabisa ya ngoma zinazorindima ndoani, kimya kimya
π π π πAlikuwa anapambania mali alizochuma na mumewe dhidi ya ndugu walafi
Marehemu kifo chake kinahusikaje na mambo ya ndoa.Watu wanaposema "kataa ndoa" muwe mnaelewa jamani.
Roho ya Marehemu isipumzike kwa amani mpaka wahusika wote watakapo pewa adhabu stahiki