Mahakama yapokea kisu kinachodaiwa kumchinjia mdogo wake Bilionea Msuya

Hivi wanasheria wanamteteaje mtu ambae wanajua ni muuaji
Nao si wataingia kwenye hatia ya hiyo damu .🤨
Maamuzi hayatolewi kwa hisia, bali kwa logic; mfano,
  • Maziwa ya ng'ombe ni kwa ajili ya ndama, ndio;
  • Na hayo maziwa yana virutubisho vya king'ombe ng'ombe, ndio;
  • Kwa hiyo ndama akitumia yale maziwa, anapokea virutubisho vya king'ombe ng'ombe, ndio;
  • Na wewe unatumia maziwa ya ng'ombe, ndio;
  • Kwa hiyo na wewe umepata virutubisho vya king'ombe ng'ombe, ndio
  • Ndio maana unafikiri king'ombe ng'ombe 😀😀
 
Hii inatokea kama ndugu wa mume ni wachovu ila kwa Erasto alikuwa na dada yake alikuwa yuko njema Australia. Na wazazi wake Erasto walikuwa njema.
 
Hujajibu swali, gunia la mchele lenye kilo mia moja, lina punje ngapi za mchele?
kina Miriam wana majibu:

1. kuna njia ya fasta fasta, aliyokumbana nayo bwana Msuya
2. alaf kuna ile ya taratib, anayokumbana nayo Equation X
 
Chukua hii; ndugu ni adui mkubwa kwa kizazi chako (hasa ndugu wa upande wa baba)
Ndiyomaana hata hapo sasa hivi akiumwa au akikwama kwa namna yoyote ile Ndugu wa Mama (Ujombani) ndiyo huwa karibu sana kutoa msaada iwezekanavyo.

Aendelee tu kukaza fuvu hadi yatapomkuta ndipo ataamini tunachonena.

Labda Jamaa aliangukia pua akaoa "fake wife material" akapigwa na kitu kizito, nani ajuaye?

Maana "Si kila Mwanamke ni Mke."

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yule ni mkataa ndoa 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…