Inaitwa substituted summons mkuu
Au summons by publication

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
well said, it takes an intelligent man to see this, the Guy is above the Law !!!

angekua above the law mahakama isingetoa hati hiyo ,ujue asipoudhuria tena mahakamni itaonekana ameidharau mahakama na mahakama itatoa warrant of arrest.
Mlikuwa mnamdanganya hivyohivyo mfungwa sabaya
mtakuja kukimbia post zenu hapo baade
 
Mlamba kalio Kama kawaida yako.
Ata siku ikotokea pimbi wewe pamoja na kukera watu wengi humu jukwaani including me; unataka kuhukumiwa na ‘mob justice’ tutakutetea watu kama sisi ndio hulka yetu.

Alikadhalika kama utashitakiwa na wale uliowaumiza moja kwa moja huo utakuwa mziki wako uucheze mwenyewe.

Maana yake nini binafsi sina shida Clouds ikifungua kesi dhidi ya Makonda au mtu mwingine yoyote ambae alinyang’anywa haki zake na huyo mtu.

Issue yangu ni hii culture ya watanzania kupenda kuona watu ambao waliwazidi kimaisha at one point wana angamia; huu ni utamaduni mmbaya sana ambao umekithiri kwa baadhi ya watanzania.

Sio kwa wasionacho tu mpaka kwa wenye nacho; ni tabia yetu kupenda kuona ambao waliokuwa bora zaidi yetu at one point kwenye maisha wanaangamia hii ndio sababu nipo upande wa Makonda against mob justice.
 
Mjomba wewe ndio unaji contradict

Apparently you can’t comprehend the concept of justice (you do know kuna several theorists on the concept of justice) sasa unataka kuzungumzia;

Justice as Harmony
Distributive Justice
Corrective justice
Utilitarian Justice
Social Justice
Philosophical justice kwa misingi ya Justice in ‘procedural and substantive law’

Or what exactly is your definition of justice?

Kukusaidia Kubenea is seeking corrective justice, watu wenye mamlaka ya kuangaika na hiyo case ni DPP au mwathirika and not a third party.

Ndio maana mimi sina shida na yeyote alieumizwa na Makonda directly kumchukulia hatua za kisheria; however if it’s mob justice ata kama siwezi zuia final outcome I will defend the underdog regardless of his rank in society always.
 
Hii kweli

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mahakamani hakunaga ujinga mzee

Kama ameitwa si aende tu akawaweke sawa huko wasi wasi wa nini?wakati yeye anajua ni msafi

Ova
Kuna kiumbe, kabla,mahakamani kilikuwa kina-assume ni ghetto kwake kisa ana hela. Alivyofika ndio kajua kwamba pesa haina uwezo wa kupindisha haki ya 'mteule'.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Aacha kuokoteza cha kusema, mazuri 1 au 2 uliyofanya hayazuii wewe kufikishwa mbele ya sheria kwa baya 1 ulilolifanya.
 
Kumbe jamaa ndio anaiomba mahakama kibali cha kumshtaki Makonda kwa kua anaona jamhuri haina nia ya kufanya hivyo??

Publicity kuubwa kumbe jambo lenyewe hata bado halijaiva.
 
Siamini kinachotokea, yaani ubabe ule wote jamaa anaogopa kujitokeza mahakamani. Hizi ni dalili za kudhibitisha tuhuma kutokana na alichokifanya. Poor Makonda dunia ipungeze speed aisee looh.
Nilipomuona Sadam Hussein anatokea shimon kama Digidigi sikutarajia kama kuna mwanadamu mwingine duniani atachezea madaraka.
 
upuuzi mwengine huu!!!
watu wengine hawana majukumu ya kufanya, au wana muda wa kuchezea.
eti unamshitaki makonda na serikali!!
huyo mlalamikaji ndio nani? ujinga kabisa huu
Siku ya kesi ni 2/3/2022 maswali yako yote yatajibiwa
 
Hahahah utamsakaje Tiss? Mahakama inamjua na polisi wanamjua vizuri tu hata alipo wanajua sababu kuna watu pia haishi porini yule.
 
Mbona jamaa yupo mjini na anakula shavu tu.

Hii habari ya kumsaka kama tochi inatoka wapi?

Mbona yupo Dar na amejiachia anavyotaka?

Acheni kuwazingua watanzania.
Watanzania watu wa ajabu sana, huyo jamaa anatumia barabara hizi hizi ku move na askari wapo barabarani wanamuona. Serikali haina mpango nae tu sababu anazunguka humu humu nchini! Arusha, Dom,Moro,Dsm na Mwanza
 
Kubenea si alifunguliwa mashtaka kipindi kile na akadakwa anatoroka na pikipiki kwenda Kenya😂 na matusi aliomtukana Makonda kwenye press flani! Naona kaona nae ajibu mashambulizi sasa kwa kuwa konda boy msafi yupo uraiani
 
Hahahaa, hii imekaa poa sana. Iwe funzo kwa MAJAMBAZI wenzake kama kamanda Sirro, na wale watoa roho akina Kingai, Mahita n.k
Na wale wanaotaka kuifanya nchi istawalike na wenye nia ya kuchoma vituo vya mafuta kama Mbowe, Lema, na Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…