Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

Mkuu wewe endelea kujidanganya kazi ya uwakili wa serikali na per diem hahaha
 
Chenga Sana eti ugaidi wa laki 6 is it possible? Rasilimali pesa zinateketea kisa kukosolewa na kutaka katiba mpya
 
Lissu mwanasheria nguli rudi home umupambanie Mwenyekiti.

Au umeamua kumutosa baada ya kuona jinsi Mahakama inatenda haki,kama ilivyokufutia kesi zako?
Na wewe unajua mengi kwenye chama hata yale maandamano unajua vema lengo lake,japo hukutokea.
 
Unajua tunaweza kuongea kwa ushabiki na hisia tu! Ila watu wakumbuke Mbowe anamakandokando pia ya kuhusika na kifo cha Chacha Wangwe! Usimwamini mwanadamu huwezi kujua alivyo ndani yake! Mahakama waiache iwe huru kama kwa Sabaya!
umenena mkuu.
Ndio maana hata John Mrema alisema; "....Hatuwezi kufahamu mambo yote anayo yafanya mwenyekiti......."
waswahili wanasema; nafsi/moyo wa mtu ni kichaka.
Mbowe sio Malaika.
 
ni uhujumu uchumi au ugaidi?
 
Hivi jaji anapoandaa hukumu huwa anashirikiana na mawakili wa serikali ?.Watu tangu mwanzo walisema huyu jaji pamoja na wale wengine wawili ambao walianza na kesi hii walikuwa tayari wanayo hukumu kinachosubiriwa ni muda tu.
 
tupa kule upuuzi mtupu!
wacheni kesi ingurume.
mapingamizi ya kipuuuzi tupa kule, takataka.
 
Lissu mwanasheria nguli rudi home umupambanie Mwenyekiti.

Au umeamua kumutosa baada ya kuona jinsi Mahakama inatenda haki,kama ilivyokufutia kesi zako?
Na wewe unajua mengi kwenye chama hata yale maandamano unajua vema lengo lake,japo hukutokea.
Sasa kama mnasema Tayari jaji anayo hukumu mfukoni,hata huyo Lisu atabadilisha nini?
 
Unajua tunaweza kuongea kwa ushabiki na hisia tu! Ila watu wakumbuke Mbowe anamakandokando pia ya kuhusika na kifo cha Chacha Wangwe! Usimwamini mwanadamu huwezi kujua alivyo ndani yake! Mahakama waiache iwe huru kama kwa Sabaya!

..watoto wa Chacha wangwe ni wanaharakati na wanachama wa Chadema.

..mbowe angekuwa amemdhuru Baba yao / Chacha Wangwe, watoto wake wasingeunga mkono Chadema.

 
Hivi jaji anapoandaa hukumu huwa anashirikiana na mawakili wa serikali ?.Watu tangu mwanzo walisema huyu jaji pamoja na wale wengine wawili ambao walianza na kesi hii walikuwa tayari wanayo hukumu kinachosubiriwa ni muda tu.
Inasemekana anashirikiana na uvccm kuandika hukumu.so pata picha
 
Uko sahihi. Mimi pia naona muelekeo ni huo.
 
Kibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kupitisha mda.
 
Tuliaminishwa humu kibatala ndiye wakili bora kabisa hapa nchini kwa sasa?
Mbona anagaragazwa hivi sasa na wakina Wakili Kidando?
 

Acha mahubiri. Sheria ifuate mkondo.
 
Sidhani Kama atatoboa huyu mtu,maana mawakili wake unaweza sema waliishia ngumbaru[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mawakili wa Mbowe wanapoteza na kuchezea muda wa Mahakama kwa kuleta mapingamizi yasiyo na kichwa wala miguuu ambayo kimsingi yana chelewesha haki kutendeka.

Wanajua wanacho kifanya ila mahakama isikubali kuchezewa.

Leo hii Katibu mkuu wa chadema John Mnyika ana mkejeli na kumdhihaki Jaji anaye sikiliza kesi hiyo je ni sawa hiyo?!

Mnyika na genge lake la kihuni wana lengo la kuichafua mahakama na Majaji, hilo lisifumbiwe macho,.hatua za kisheria zichukuliwe.
 
Huyu jaji mpya toka amefika, hajawahi rule against Oppressors. It's like hukumu anayo lkn anafata protocol tu.....

Ngoja tuone leo kama kwa Mara ya kwanza atafanya kitu tofauti.

Ukweli unabaki Ukweli haijalishi watu kama nyie mko wangapi.
 
Kibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kutipisha mda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…