Mawakili wa utetezi wapo vizuri Sana,asikudanganye mtu.Ni suala la muda tu tusubiriKibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kutipisha mda
Mwambieni Jaji amuogope Mungu, Pirato alinawa mikono kumhukumu Yesu kesi ya KIFO, sasa Jaji anataka kushiriki kumfunga MAISHA Mh. Mbowe bila hatia - ajiangalie sana mpelekee ujumbe - Huu ulimwengu msingi wa uumbwaji wake upo kwenye HAKI, unaposimamia haki ya mtu jiangalie sana ukiipoka wa manufaaa ya watawala unakwisha kabisa.Acha mahubiri. Sheria ifuate mkondo.
Kweni weye ndiye Mr . Slow🤔Kibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kutipisha mda
Wewe unaumia nini anayeteseka na Lilian Mteipimbi utamjua tuu
Halafu wametiwa mori kwa kuitwa kilaza na wamchongo na yule shahidi wa kuchonga Mchome-imekula kwaoMawakili wa utetezi wapo vizuri Sana,asikudanganye mtu.Ni suala la muda tu tusubiri
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Napata hisia wewe ni "Dr" Msukuma.Kibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kupitisha mda.
Fikiria hata Mr. Slow anaweza kumtikisa au genge lake Ili manufaa yawe upande wao🤔.Mawakili wako poa sema jaji ni kama marefa wa ligi yetu kashaamua upande wake au ana maelekezo toka juu
Kibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kupitisha mda.
Vipi ile kesi ambayo Mbowe alirudishiwa hela yake? Subiri rufaa,hawa majaji wa michongo na uvccm kuna muda waoKibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kupitisha mda.
Tutakuja kumbabania kama Mr. Slow🤔.Vipi ile kesi ambayo Mbowe alirudishiwa hela yake? Subiri rufaa,hawa majaji wa michongo na uvccm kuna muda wao
Mbona MBOWE anawahangaisha sana wakati nyinyi ndo mmemfungulia masthtaka 🤣 🤣 🤣 , Kikubwa acheni michezo ya kijinga na kitotoKibatala na wenzake inabidi wachague kati ya kuwa mawakili au kuwa wachekeshaji wa wanaohudhuria mahakamani. Wachague ama kuwahudumia wateja wao au wasio na kazi wanashinda mahakamani kupitisha mda.
😃😀😀 Sio dirisha stoo!!Ni kweli, Chakubanga kasema mambo mengi yanakwenda KIHUNI HUNI... ana pointi asikilizwe na ajibiwe kwa hoja na si kumvunjia duka...sorry dirisha.
Mkuu mbona unaandika kama chuma cha mwingereza kimezama marindani,mawakuli ndio nani kutuchisha ndio kitu gani?Naona Pius Hilla na Nassoro Katuga wameanza kuwa mwiba wa moto kwa washitakiwa. Mawakuli wa utetezi wamejaribu kila mbinu, kila janjajanja, lakini wanakwaa kisiki kama cha mpingo. Itabidi ema warudi shule au tubadilishe Wakili, hizi pingamizi za kitoto sasa zimeanza kutuchisha Wanachadema.
Kwani judge kakosea wapi?, Maana hata kibatala hajapinga hukumu,,, jw kama mahakama imegoma kukubali kuwa marehemu ameteswa kabla ya kutoa maelezo, nini impact yake kwa hii kesi, maana kama mshitaki anadai kutesa ili asaini statement tarehe 9august 2020,wakati document inasema statement imesainiwa tarehe 7august 2020,hapo ni wazi mtuhumiwa kachemka,Mwambieni Jaji amuogope Mungu, Pirato alinawa mikono kumhukumu Yesu kesi ya KIFO, sasa Jaji anataka kushiriki kumfunga MAISHA Mh. Mbowe bila hatia - ajiangalie sana mpelekee ujumbe - Huu ulimwengu msingi wa uumbwaji wake upo kwenye HAKI, unaposimamia haki ya mtu jiangalie sana ukiipoka wa manufaaa ya watawala unakwisha kabisa.
Tumia akili yako vzr,Mungu anaweza kukupa utahira siku mojaTuliaminishwa humu kibatala ndiye wakili bora kabisa hapa nchini kwa sasa?
Mbona anagaragazwa hivi sasa na wakina Wakili Kidando?
Alikasirika kuhisi aliitwa wamchongo🤔...naona Jaji kaamua kujibu madongo ya shahidi wa utetezi anayeitwa Mchome.
..Jaji hatakiwi kushambulia mashahidi binafsi, anatakiwa achambue ushahidi kwa mujibu wa sheria.