Mahakama yatupilia mbali Rufaa ya Odinga, yakubali Ruto ameshinda kihalali Urais wa Kenya, leo Jumatatu Septemba 5, 2022

Mahakama yatupilia mbali Rufaa ya Odinga, yakubali Ruto ameshinda kihalali Urais wa Kenya, leo Jumatatu Septemba 5, 2022

Mahakama ya Juu yatupilia mbali tofauti kati ya Fomu 34A zilizopakiwa kwenye tovuti ya IEBC na Fomu34 A zilizopokelewa Bomas.
Fb4j99JWYAMj_lp.jpeg
 
Kuahirishwa kwa uchaguzi nchini kote hakujasababisha kushuka kwa wapiga kura - Mahakama ya Juu.
Fb4kursXkAEQq_m.jpeg
 
Huyu madam jaji kuna issue alishawahi mtolea nje Uhuru. Sema siikumbuki tu.
 
Back
Top Bottom