Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Mahakama ya Juu yatupilia mbali tofauti kati ya Fomu 34A zilizopakiwa kwenye tovuti ya IEBC na Fomu34 A zilizopokelewa Bomas.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It seems kila hoja imetupwa. Wako katika hoja ya mwisho ambayo haina nguvu. Hivyo Rutto kashindaUamuzi unasemaje
LowassaOdinga, he has everything sasa sijui anatafuta nn Kama sio tamaa pathetic
Sema mahakama za Kenya ziko huru. Siyo Tanzania majaji utadhani ni wamachinga.Huyu mama ni kiboko ya Uhuru.
Huku Tanzania majaji wanafuata upepo wa Rais. Refer samaki wa Magufuli.Sema mahakama za Kenya ziko huru. Siyo Tanzania majaji utadhani ni wamachinga.
Ni WSRUamuzi unasemaje