Daah maisha bhana Mungu atusaidie ndugu zetu wengine wanapitia kwenye mtihani mkubwa sana kwa kweli sema ilitakiwa asioe ili asipate hiyo kadhia iliyopo kwa sasa...
Anza kutesti kwa Behaviourist akilala huwa anakuotaYaani huyo dada alishindwa kuchungulia hata korodani kama ipo kabla ya kumkubali jamaa?
Lazima nitest mtambo bna hate akiniacha poa tu
korodani inaact kama injiniIkiwa haina korodan haifanyi kazi?
OkItahesabika ya kwako ilimradi document isome jina lake Soo majina yenu
sasa naskia polisi huwa wanaziminyaga hizo vitu wanapowakamata, hawaoni ni kuua uzazi wa Tanzania?Bila korodan dushe linasimama vp?
System nzima ya uzazi ya mwanaume (male reproductive system)lazima ihusike sio nusu nusu
Umenikumbusha mbali sana mkuu, nimepitia kisa kama hiki. Walokole noma sana na mimi huwa najiona nilikuwa boya kweliNishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo
kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano
yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda
mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana
ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi
najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.
sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka
wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.
Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
Nikimuangalia tu najua ana korodani gram ngapi?Anza kutesti kwa Behaviourist akilala huwa anakuota
Aaah wengine unatest lakini kwa Behaviourist uangalie tu!Nikimuangalia tu najua ana korodani gram ngapi?
Nimekuwa mzoefu Sasa hivi naangalia tuAaah wengine unatest lakini kwa Behaviourist uangalie tu!
Behaviourist ana baby walker sikuhizi, ukimkubali utakua mama mwenye gari.Nimekuwa mzoefu Sasa hivi naangalia tu
π€£π€£π€£πBehaviourist ana baby walker sikuhizi, ukimkubali utakua mama mwenye gari.
Ni la mama yake.amelipwa mafao baada ya kustaafuBehaviourist ana baby walker sikuhizi, ukimkubali utakua mama mwenye gari.
ππππππNi la mama yake.amelipwa mafao baada ya kustaafu
Mambo ya ndoa yanamengi, inawezekana alikuwa tayari kuvumilia lakini upande mwingine ukawa unamuumiza Kama kuhitaji watoto na mwanaume akawa anataka yeye mwanamke ndo aonekane tatizo, lakini kama walikubaliana iwe kwa kuishi tu na yeye akatoa siri hapo kweli ndo tatizo. Mimi namjua mtu mwenye tatizo Kama hilo aliona mwanamke mwenye watoto tayari Ili kumsaidia mahitaji yao na atulie kwake sasa kuoa binti tu hapo napo ni ngumu.Mwanamke siyo mwaminifu, alijuaje korodani kama hajaziona nje ya huyo mumewe?
Kiapo chao kinasema atampenda katika shida na raha, imekuwaje hapo anaomba talaka?
Ina maana kabla ya kuoa huyo mume hakuwa anapata hisia? Alioa kwa msukumo hisia kutoka wapi kama kweli hana goroli?
Mwanamme anatakiwa amshitaki mwanamke kwa kutoa siri ya maumbile yake hadharani
Upo sahihi mkuu inasikitisha sana kwa kweli inaonekana jamaa kazunguka kweli mali wanapata ila hiyo ishu ndio tatizo sema kila kitu ni mipango ya Mungu ilitakiwa asingefika kuoa bosheni hivyo mpaka sasa imempa msongo wa mawazo mno kwa sababu huo ugonjwa hajajipa ujue kwa hiyo kwa nini aji stress kwa wapita njia...Na kwa hizi jamii zetu za kia afrika za kupangiana maisha, angekaa bila kuoa yangeanza maneno maneno oooh mbona umri unaenda huoi[emoji2368]. Na hawezi kuiambia jamii kuwa hana korodani [emoji2356] maana isingemwelewa. Akaona isiwe tabu, akaoa zake hivyo hivyo ili kuwakata maneno walimwengu
Waliivurunga kweli hawakuwa na huruma nayoniliwatunzia wajasiriamali wawili 1.kinyozi 2.tax driver, ana watoto wawili toka kwa kila mjasiriamali hapo