Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ebenezaKaimba wimbo gani huyo Rebecca???
Hata kama hana korodani ,lakini si anasukuma mashine? Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,na unaweza hata kuchukua yatima.
Alafu hao hao utawasikia oh kwenye ndoa kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko kusasambuliwa mbususu🤣🤣🤣🤣🤣Ndiyo maana wanawKe wanapenda kupelekewa moto kabla ya ndoa ili waone kama yaliyomo yamo!!!
Naunga hoja ..kwan lazima atumie kiungo chake?si kuna vitu vingine vingesapot .ila nao 21 yrs mnakuja achana ijumaa kuu leo? Wangemaliza uzee pamoja tuHuyo bwana angetafuta namna nyingine ya kuficha siri yake huyo mwanamke amejitahidi lakini ilifikia mahali akachoka, angefanya hivyo yote hayo yasingetokea kuadhirika kiasi hicho.
Maajabu sanaMahakama ya mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya Rebbeca Magaba na ndugu Zabron Maselege. Hii ni baada ya wanandoa hao kutoshiriki tendo la ndoa kwa miaka 18.
Amri ya mahakama pia imetoa amri kuwa mali walizochuma kwa pamoja zigawanywe,ambapo bwana Zabron Maselege imeamriwa apate shamba la heka kumi mbalo lipo Bagamoyo, maduka mawili ambayo yapo Bonyokwa na Mahengo na shamba la mikaratusi ambalo lipo Kigoma. Huku Rebecca Magaba akiambulia kiwanja kilichopo Madale.
Mahakama imeamua kuvunja ndoa hiyo baada ya kutambua kuwa wanandoa hao wanatenda matendo ambayo si ya kindoandoa!
Rebecca Magaba amedai mahakamani hapo kuwa aliamua kuomba talaka sababu ndoa yao huwa haina tendo la ndoa kwa miaka Kumi na nane, huku akidai kuwa aliyekuwa mume wake hana korodani.
N.b Rebbeca Magaba ni mwanamuziki wa Injili za kumtukuza Mungu na ameishi na mume wake kwa miaka ishirini na moja.
Nafikiri ishu ilikuwa mali ikabidi wafike mahakamani, vinginevyo wangeyamaliza kimyakimya.Mungu amsaidie jamaa asifanye jambo la kipuuzi maana kapoteza mke na aibu yake imeshawekwa wazi kwa kila mtu wake wa karibu.. Mungu amsimamie aseee
Na kwa mnaodhihaki wakati hamjaweka jitihada yoyote kuwa hivyo mlivyo. Ombeni
Mungu asiwakumbushe kuwa
"kabla hujafa, hujaumbika"...
Kulikuwa na haja gani kumtaja huyo mwanaume jina kama sio kumdhalilisha kwa wanaomjua.
Ona sasa tumejua udhaifu wake.
Hawajamtendea haki huyo mwanaume kwa kumtangazia udhaifu wake
hana korodani, maana yake hana nguvu za kiume.Hiyo sentensi ya mwisho imekaa kichokozi au labda mimi tu.
itakuwa maana issue kama hizo huishia kwa wazee tu na isitoshe isingekuwa ngumu kuamuliwa na wazazi maana nina uhakika wanajua upungufu wa mtoto wao....Nafikiri ishu ilikuwa mali ikabidi wafike mahakamani, vinginevyo wangeyamaliza kimyakimya.
Hahaha ulikuwa boya🤣🤣Nishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo
kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano
yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda
mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana
ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi
najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.
sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka
wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.
Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
sanaaaaaaaHahaha ulikuwa boya🤣🤣
😂 😂 😂Ndiyo maana wanawKe wanapenda kupelekewa moto kabla ya ndoa ili waone kama yaliyomo yamo!!!
LolNigga ain't got balls!
Angemnunulia Vibrator halafu siku za mwisho wa juma anazama chumviniNaunga hoja ..kwan lazima atumie kiungo chake?si kuna vitu vingine vingesapot .ila nao 21 yrs mnakuja achana ijumaa kuu leo? Wangemaliza uzee pamoja tu