Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Kulikuwa na haja gani kumtaja huyo mwanaume jina kama sio kumdhalilisha kwa wanaomjua.
Ona sasa tumejua udhaifu wake.
Hawajamtendea haki huyo mwanaume kwa kumtangazia udhaifu wake
Mbona kesi nyingine huwa majina ya washtakiwa yanatajwa? Ila mahakama ingejiridhisha tu kuwa hawajafanya ngono kwa muda tajwa tu na kutoa maamuzi, maswala ya kuwa hana korodani yamekujaje?

Hata hivo huyu mleta mada ni wenge!
Hajasema upande wa utetezi ulivokuwa.
 
ni kheri humu mkuu maana kama kesi ishafikishwa mahakamani, story ishakuwa kubwa mtaani, kazini na kwa ndugu zake wote..
Kiufupi jamaa ana hali mbaya, kwanza kwa udhaifu wake na kuachwa tayari anaona maisha yake hayana thamani na kitendo cha aibu yake kuwekwa wazi.. Tayari ni mtihani mara mbili

Mungu amsimamie asichukue maamuzi magumu popote alipo
Hapa namuonea huruma kama vile namjua.
Yawezekana hata mtaani hawajui ili wameenda kujulia huko mahakamani.
Hivi mahakama ilishindwa kuangalia namna ya kuwasaidia bila aibu ya huyo mwanaume kutoka hadharani
 
Amina
ni kheri humu mkuu maana kama kesi ishafikishwa mahakamani, story ishakuwa kubwa mtaani, kazini na kwa ndugu zake wote..
Kiufupi jamaa ana hali mbaya, kwanza kwa udhaifu wake na kuachwa tayari anaona maisha yake hayana thamani na kitendo cha aibu yake kuwekwa wazi.. Tayari ni mtihani mara mbili

Mungu amsimamie asichukue maamuzi magumu popote alipo
 
Hapa namuonea huruma kama vile namjua.
Yawezekana hata mtaani hawajui ili wameenda kujulia huko mahakamani.
Hivi mahakama ilishindwa kuangalia namna ya kuwasaidia bila aibu ya huyo mwanaume kutoka hadharani
Sasa aibu gani wakati ni kitu ambacho yeye hana uwezo nacho...kama amezaliwa hivyo angefanyaje sasa. Mie sio hiyo aibu inakujaje kama its not his fault kujikuta hana korodani
 
Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya mwimbaji wa nyimbo za injili, Rebecca Magaba na Zabron Maselege baada ya wanandoa hao kutoshiriki tendo la ndoa kwa zaidi ya miaka 18.

Pia, Mahakama hiyo imetoa amri mali zote walizochuma wanandoa hao, ikiwamo shamba la eka 10 lililopo Bagamoyo, maduka mawili yaliyopo Bonyokwa na Mahengo na shamba la miti ya mikaratusi lililopo Kigoma zichukuliwe na Maselege na kiwanja kilichopo Madale kitabaki kwa Rebecca.

Hakimu Mkazi, Mwinyiheri Kondo alisema Mahakama imevunja ndoa hiyo baada ya kuona wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa ambayo si ya kawaida.

Kondo alisema katika ushahidi uliotolewa na Rebecca alidai hawakuwahi kufanya tendo la ndoa tangu wafunge ndoa kutokana na mume wake kutokuwa na korodani.

Alisema kutokana na hilo, Mahakama hiyo imevunja ndoa hiyo, hivyo ndani ya siku 45 haki ya kukata rufaa kwa mdaiwa ipo wazi.

Katika kesi hiyo, Rebecca aliiomba Mahakama hiyo ivunje ndoa hiyo kisheria baada ya kuishi na mume wake kwa miaka 21 bila ya kushiriki tendo la ndoa.


Mwananchi
Mbona hatari hii
 
Kuna kitu sikielewi hapa...

Kukosa kuwa na korodani kunazuia vipi wao kujig jig!!!

Labda sababu ya kuachana iwe ni kukosa watoto
 
Kaimba wimbo gani huyo Rebecca???
Ana ngoma kama Ebenezer

Screenshot_2021-04-02-17-23-11-1.jpg
 
Kulikuwa na haja gani kumtaja huyo mwanaume jina kama sio kumdhalilisha kwa wanaomjua.
Ona sasa tumejua udhaifu wake.
Hawajamtendea haki huyo mwanaume kwa kumtangazia udhaifu wake

Ni kweli mkuu, wangeweza ku code na kusema changamoto za kiafya.
 
Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya mwimbaji wa nyimbo za injili, Rebecca Magaba na Zabron Maselege baada ya wanandoa hao kutoshiriki tendo la ndoa kwa zaidi ya miaka 18.

Pia, Mahakama hiyo imetoa amri mali zote walizochuma wanandoa hao, ikiwamo shamba la eka 10 lililopo Bagamoyo, maduka mawili yaliyopo Bonyokwa na Mahengo na shamba la miti ya mikaratusi lililopo Kigoma zichukuliwe na Maselege na kiwanja kilichopo Madale kitabaki kwa Rebecca.

Hakimu Mkazi, Mwinyiheri Kondo alisema Mahakama imevunja ndoa hiyo baada ya kuona wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa ambayo si ya kawaida.

Kondo alisema katika ushahidi uliotolewa na Rebecca alidai hawakuwahi kufanya tendo la ndoa tangu wafunge ndoa kutokana na mume wake kutokuwa na korodani.

Alisema kutokana na hilo, Mahakama hiyo imevunja ndoa hiyo, hivyo ndani ya siku 45 haki ya kukata rufaa kwa mdaiwa ipo wazi.

Katika kesi hiyo, Rebecca aliiomba Mahakama hiyo ivunje ndoa hiyo kisheria baada ya kuishi na mume wake kwa miaka 21 bila ya kushiriki tendo la ndoa.


Mwananchi
Kupigwa mti ni haki ya mke, pasi na kupigwa miti si angebaki kwa wazazi wake, kwani alikuwa anakosa nini kqw wazazi wake? mwanamke anakwenda kwa mwanaume kwa misheni moja tu, kupigwa mashine, usipompa lazma akimbie.


sasa korodani ndio linafanya mapenzi au dushee?
 
Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya mwimbaji wa nyimbo za injili, Rebecca Magaba na Zabron Maselege baada ya wanandoa hao kutoshiriki tendo la ndoa kwa zaidi ya miaka 18.

Pia, Mahakama hiyo imetoa amri mali zote walizochuma wanandoa hao, ikiwamo shamba la eka 10 lililopo Bagamoyo, maduka mawili yaliyopo Bonyokwa na Mahengo na shamba la miti ya mikaratusi lililopo Kigoma zichukuliwe na Maselege na kiwanja kilichopo Madale kitabaki kwa Rebecca.

Hakimu Mkazi, Mwinyiheri Kondo alisema Mahakama imevunja ndoa hiyo baada ya kuona wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa ambayo si ya kawaida.

Kondo alisema katika ushahidi uliotolewa na Rebecca alidai hawakuwahi kufanya tendo la ndoa tangu wafunge ndoa kutokana na mume wake kutokuwa na korodani.

Alisema kutokana na hilo, Mahakama hiyo imevunja ndoa hiyo, hivyo ndani ya siku 45 haki ya kukata rufaa kwa mdaiwa ipo wazi.

Katika kesi hiyo, Rebecca aliiomba Mahakama hiyo ivunje ndoa hiyo kisheria baada ya kuishi na mume wake kwa miaka 21 bila ya kushiriki tendo la ndoa.


Mwananchi

Hata RC church ingevunja hio ndoa
 
Mimi najiuliza hawakua wachumba??? hawaku sex before before deciding to get married?....
 
Alafu hao hao utawasikia oh kwenye ndoa kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko kusasambuliwa mbususu🤣🤣🤣🤣🤣
Wamekaa miaka 21 lakini. Kama ndoa ni mbususu tu walikuwa wanafanya nn miaka yote hiyo?

Mbususu kwenye ndoa ni ya muhimu ila kuna vingi vya muhimu pia na vikikosekana ndoa ipo mashakani. Mfano pesa. Ukiwa huna pesa kabisa mbususu nayo inakuwa kama haipo hivi.
 
Back
Top Bottom