Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Huyo bwana angetafuta namna nyingine ya kuficha siri yake huyo mwanamke amejitahidi lakini ilifikia mahali akachoka, angefanya hivyo yote hayo yasingetokea kuadhirika kiasi hicho.
Naunga hoja ..kwan lazima atumie kiungo chake?si kuna vitu vingine vingesapot .ila nao 21 yrs mnakuja achana ijumaa kuu leo? Wangemaliza uzee pamoja tu
 
Maajabu sana
 
Mungu amsaidie jamaa asifanye jambo la kipuuzi maana kapoteza mke na aibu yake imeshawekwa wazi kwa kila mtu wake wa karibu.. Mungu amsimamie aseee

Na kwa mnaodhihaki wakati hamjaweka jitihada yoyote kuwa hivyo mlivyo. Ombeni
Mungu asiwakumbushe kuwa
"kabla hujafa, hujaumbika"...
 
Nafikiri ishu ilikuwa mali ikabidi wafike mahakamani, vinginevyo wangeyamaliza kimyakimya.
 
Kulikuwa na haja gani kumtaja huyo mwanaume jina kama sio kumdhalilisha kwa wanaomjua.
Ona sasa tumejua udhaifu wake.
Hawajamtendea haki huyo mwanaume kwa kumtangazia udhaifu wake

ni kheri humu mkuu maana kama kesi ishafikishwa mahakamani, story ishakuwa kubwa mtaani, kazini na kwa ndugu zake wote..
Kiufupi jamaa ana hali mbaya, kwanza kwa udhaifu wake na kuachwa tayari anaona maisha yake hayana thamani na kitendo cha aibu yake kuwekwa wazi.. Tayari ni mtihani mara mbili

Mungu amsimamie asichukue maamuzi magumu popote alipo
 
Nafikiri ishu ilikuwa mali ikabidi wafike mahakamani, vinginevyo wangeyamaliza kimyakimya.
itakuwa maana issue kama hizo huishia kwa wazee tu na isitoshe isingekuwa ngumu kuamuliwa na wazazi maana nina uhakika wanajua upungufu wa mtoto wao....
All in all yashatokea
 
Hahaha ulikuwa boya🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…