DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umeongea point ukiwa kwenye ndoa na mume anatimiza majukumu komaa na ndoa yako. Hata kama mume ana hawara kumbuka wewe ndo Mrs na unatambulika. Hakuna kitu kubaya katika maisha kama kupoteza focus.
Na Pia
waambie kabisa na Baba wa watu Pamoja na kumuacha bado alimpa Nyumba na Gari na cash Lakini mwanamke hakomi ameanza chokochoko tena yani hapo tu anapokaa amelipiwa sasa nashangaa Shida ni Nini sijui anataka Roho Ya huyo baba na sasa Kichwa kinamuuma kuharibu sijui Nani atamlipia tena mwanamke Mpumbavu anawaza Mali Mali Mali tu kama ni watoto wapo Kwa baba yao huyo Baba Kampa mtoto mkubwa kila kitu ndio ceo na shareholder sasa Shida ni nn huyo Davis mwenyewe hana Shida na Mali kila siku ni masadaka kanisani huko Moshi kiboroloni mwaka wa 26 huu anasaidia Misaada wazee yani huyu dada hiyo laana aliyonayo itamtesa sanaaaa
 
Wanawake Jifunzeni kutafuta mali zenu wenyewe.
 
Halafu huyu mama anasema miaka 28 ipi sasa na wakati ni 23 hivi ni Mali tu au Nini jamani huyu mama kasahau Kuwa huyo Baba aliuguza baba yake na msisahau kapewa mali Pamoja na matusi aliyomtukana na hata hapo anapokaa ni alilipiwa na Davis na alimnunulia Nyumba na Gari Lakini kwa sababu Ya mitandao kumtukuna na yeye mwenyewe akishiriki ndio Amenyang’anywa tena yani mwanamke mshenzi ameshiriki kutoa Siri za ndani za Mume wake Eti alikuwa hamfanyi vizuri ndio maana alienda kutafuta danga yani huyu si mwendawazimu huyu hivi mwanamke aliyefundwa anaweza kuongea haya kweli Jamani na Baba wa watu kanyamaza kimya yani uchafu wote ulioongea Mitandaoni utakutafuna mwenyewe na wewe sio Mungu wa Kupanga kifo cha mtu na umewahukumu marehemu kwa sababu wamekufa kwa magonjwa ya ukimwi je ww unajua Kesho yako utakufa na magonjwa gani? Yani wewe mwanamke wewe?
 
ningeenda Ashkelon ningeoa fasta, ila siyo hii mijizi ya Tz
 
Duh! Na yeye mke akikuacha inakuwaje? Maana mke hutoa talaka pia.
Anakurejeshea mahari yako tu halafu basi....Ila mume anaweza kudai hata mara 10 ya mahari aliyotoa ili aachike🤣
Na Kama mke ana Mali si mbaya akampa kidogo mtalaka wake asiadhirike.....kuna Raha gani kuona mtalaka wako anaadhirika.....ndo mana tukaambiwa tuachane Kwa wema.
 
Kitu kinachoendelea kumlinda na kumsaidia Mfanyabiashara Kipenzi Cha watu DavisMosha Ni Ile Hali yake ya Upendo kwa Yatima, wajane na Kusaidia kila ambaye amemfikia, Huyu Nancy atahangaika Sana, atapata Taabu Sana na Mauchawi yake, maumalaya yake, Ujinga wake, upumbavu na kujiona, ameiba, amesamehewa Siku nyingii hasikii aache kushindana na MBINGU, Kabisa ataangukia Poa....Mjinga Sana Nancy, Hapa JamiiForum Ni Mahakamani kweli, mshamba Sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240224-210939_1.jpg
    405.6 KB · Views: 13
MIMI KWENYE NDOA SIJALI SIJUI MWANAMKE NI MWIZI MUONGO ANA KIBURI HIVYO VINAVUMILIKA. ILA NACHOJALI TU NAKINACHONIFANYA NIOGOPE NA KUKATAA NDOA NI KUGONGEWA NA KUCHAPIWA HICHO TU. WEE FIKIRIA WAIFU WAKO ANAGONGWA IKICHOMOKA ANAIRUDISHA KWA KUCHOMEKA.

KATAENI NDOA ASEE. NYAU NYIE.

MBRRRRRR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…