Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
The whole judgement is replete with a mass of superfluous details!
“After having realized that their love is immense, they decided to surprise the universe”
Really? Surprise the universe, how?
Very unprofessionally written!!!
Na PiaUmeongea point ukiwa kwenye ndoa na mume anatimiza majukumu komaa na ndoa yako. Hata kama mume ana hawara kumbuka wewe ndo Mrs na unatambulika. Hakuna kitu kubaya katika maisha kama kupoteza focus.
waambie kabisa na Baba wa watu Pamoja na kumuacha bado alimpa Nyumba na Gari na cash Lakini mwanamke hakomi ameanza chokochoko tena yani hapo tu anapokaa amelipiwa sasa nashangaa Shida ni Nini sijui anataka Roho Ya huyo baba na sasa Kichwa kinamuuma kuharibu sijui Nani atamlipia tena mwanamke Mpumbavu anawaza Mali Mali Mali tu kama ni watoto wapo Kwa baba yao huyo Baba Kampa mtoto mkubwa kila kitu ndio ceo na shareholder sasa Shida ni nn huyo Davis mwenyewe hana Shida na Mali kila siku ni masadaka kanisani huko Moshi kiboroloni mwaka wa 26 huu anasaidia Misaada wazee yani huyu dada hiyo laana aliyonayo itamtesa sanaaaaMiaka mingi kwenye ndoa Nancy na wapambe wako sio sababu ya kupewa Mali,
Huyu mwanamke Nancy mjinga ndoa yake ni Miaka 23 tu, muongo Sana eti miaka 28 atuonyeshe cheti kwenye case tunaona ni Miaka 23, Huyu mwizi alikuwa msimamizi wa baadhi ya maeneo, Hana uwezo wa muhasibu na akiwa Nafasi hiyo ndio aliiba, alipewa huo Kama mgao.
Nafasi miaka 2 tu na alikuwa analipwa mshahara hakufanya Bure na pia sio sababu ya kupewa Mali, Kwa hiyo wahasibu wa makampuni makubwa wapewe Mali? Au kila mfanyakazi katika kampuni apewe Mali, Mambo ya kampuni sio mambo ya mke, Mnaongea ujinga mjifunze, Pia kampuni Zina madeni sio Mali ya ndoa msikurupuke eti miaka 28 Bila Mali?Duuuu!!! Nauliza leo huyo Davis angekuwa fundi viatu wameachana angetaka Mali?!??.
Jamani hizi Mali matajiri wengi wanakufa kwa sumu wanawake ni wauaji Sana, Nancy Roho imemtoka kisa Mali Sasa nauliza Mali zipi anataka, Za kafara au za kampuni? Au za Madeni? Haki yake ipo mahakamani sio jamii forum, Kwanini Nancy anatukana watoa haki mahakama na bado anataka haki? Upumbavu Sana.
Miaka mingi kwenye ndoa sio sababu ya kupewa Mali.
Hatari kabisaUnprofessionally written indeed.
Judge kamchamba Mrs Mosha kwa kizungu!
Wanawake Jifunzeni kutafuta mali zenu wenyewe.Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.
Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.
Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.
Je hii ni sawa?
==========
MAAMUZI YA MAHAKAMA
- Ndoa kati mlalamikaji na mlalamikiwa imevunjwa na talaka imetoka.
- Hakuna mali zilizopatikana kwa pamoja kwenye ndoa.
- Uangalizi wa mtoto Daniela Davis Mosha unakuwa chini ya mlalamikaji(Baba)
- Mdaiwa anapewa ruhusa ya kuwa na mtoto kipindi cha likizo na siku yenye nafasi kwa mtoto
- Mdaiwa amekatazwa kutumia jina la mlalamikaji Davis Mosha na amerejeshewa majina yake ya awali
- Kila mmoja atabeba gharama za kesi
View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Kiislamu hakuna Mali ya pamoja, kila mtu amiliki Mali zake, Ila ukimuacha mke unatakiwa kumpa compensation ya chochote aanzie maisha.Mtume anasemaje kwenye hili? Tusitoe talaka kwa tuliochuma nao?
notorious anti marriage activist dronedrake kuja usome huku. Dah ndoa baana. Chaliifrancisco naye kalizwa mifugo yote kwa mke wake aliyemuacha nakwenda kwa ndawoo mwengine amebaki na mbusii wawili tu. Nyau kabisa huyu dogo. Afadhali adriz alilizwa tende na halua kutoka kwa mke wake mdogo
Duh! Na yeye mke akikuacha inakuwaje? Maana mke hutoa talaka pia.Kiislamu hakuna Mali ya pamoja, kila mtu amiliki Mali zake, Ila ukimuacha mke unatakiwa kumpa compensation ya chochote aanzie maisha.
ningeenda Ashkelon ningeoa fasta, ila siyo hii mijizi ya Tznotorious anti marriage activist dronedrake kuja usome huku. Dah ndoa baana. Chaliifrancisco naye kalizwa mifugo yote kwa mke wake aliyemuacha nakwenda kwa ndawoo mwengine amebaki na mbusii wawili tu. Nyau kabisa huyu dogo. Afadhali adriz alilizwa tende na halua kutoka kwa mke wake mdogo
Anakurejeshea mahari yako tu halafu basi....Ila mume anaweza kudai hata mara 10 ya mahari aliyotoa ili aachike🤣Duh! Na yeye mke akikuacha inakuwaje? Maana mke hutoa talaka pia.
Nakumbuka uzi wa mwamba GT Robert Heriel Mtibeli alitahadharisha sana hili.Kataaa ndoa ndoa ni ujaNgili
Usimhurumie mwanamke mwanamke ni koboko
Ni kweli. Mimi sihitaji mali ya mtu kwa kweli, naridhika na nilichonacho.Wanawake Jifunzeni kutafuta mali zenu wenyewe.
Marehemu aliyedanja na covid? Dawa ni hiyo tu kataa ndoa lakini unagonga wake za watu.Mitimingi limemfaudu sana huyu dada!
Hapana mkuu 750 kUSD 750 million?
safiiNi kweli. Mimi sihitaji mali ya mtu kwa kweli, naridhika na nilichonacho.
Tena matajiri! Aisee ndoa za matajiri zina shida siyo kidogo!Marehemu aliyedanja na covid? Dawa ni hiyo tu kataa ndoa lakini unagonga wake za watu.
Nakufaham sana mwamba. Mzee wa triple nationality passport Tatu.Uliza ufundishwe Mkuu. Najua nachoongea na uwakili ni taaluma yangu pia.
Ila nadhani tufunge mjadala Mkuu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂IKICHOMOKA ANAIRUDISHA KWA KUCHOMEKA