Nisome vizuri,sijasema umesema kua wanawake walipwe....
Nimesema kwa hoja ulizotoa zinakumbusha hoja za wale wanaosema wanawake walipwe kwenye ndoa
Relax
Sio interview ndugu
Mapenzi ni interview?
Ukiondoa dhana ya "mapenzi" hapo basi inageuka interview
So far tunajua "mapenzi" yamo ndani hivyo dhana ya interview inafia hapo hapo!
Relax
Binadamu ana uwezo wa ku-alter the nature ku-fit him at that particular time akiwa duniani
Nature unayozungumzia wewe ina take very long time to self-rectify,decades hadi centuries,yule binadamu alie leta lile badiliko ashakufaga
Familia ndio basic human unit,ukivuruga hapo idadi ya watu ina perish
Hutaki andamana
Idadi ya ndoa ziapungua
Idadi ya divorces zinaongezeka
Hiyo ni mavi?
Sababu kubwa ya kwanza unajua ni nini?FEMINISM kama yako hii
Kilichomtekea shosti yako Nancy ni hicho cha toxic marriages ulichotaja....
Amepigwa cha uso,atulizane basi atafute hiyo best maariage unayoitaja hapa kama atapata
Kusema kwamba wenza wasimamie viapo vyao vya Ndoa na mikataba ya mahusiano na wenza wao ndio kuwakumbusha wadai mishahara ya wake ndani ya Ndoa?
Ila Kama aliweza Mbunge Salma Kikwete kupigania “haki za wenza wa wastaafu viongozi kulipwa “kifuta jasho itashindikana vipi wake wa Ndoa kuingia mikataba ya kulipwa?
Mapenzi?
Unayajua mapenzi vizuri? Uliyaelewa vizuri kweli baada ya kuyajua? Unazifahamu sifa za mipaka ya Mapenzi, haswa mipaka ile isiyoonekana?
Mvulana mmoja + wasichana watatu = mapenzi? Kivipi yaani?!
Mwisho wa siku anaolewa mmoja, Mbona hasiwaoe wote kwa wakati mmoja Kama ni mapenzi? Kwanini wengine anawatupa ama kuwaficha kabatini (michepuko) Kama ni Mapenzi?
Mapenzi ni nini kwako?
Kwanini unajilisha upepo?
Kwamba binaadam anaweza ku “alter Nature to fit ‘him’… hii ni ndoto ya wanaume Kama wewe waliokutangulia hapa duniani na waliopo sasa na hata wale wajao.
Alter Nature? What is Nature? Should there be a significant difference between altering Nature and Modifications of Nature?
Everything on this Gravitational zone has an equal and opposite reaction to any action. Everything.
Do you understand the kind of reactions that can occur due to the alternations of Nature?
So far we have been witnesses of all the reactions of Weather modifications. Umeona tulipofikia.
Binaadam kawekwa kuyaongoza Maisha, badala yake kayaacha yamuongoze na kumtawala kwa tamaa yake ya kutaka kutawala kisichotawalika (Nature).
Kama binaadam “aliyeliletaga ashakufaga “ basi Nature ilifanya kazi yake na sasa inaendelea kufanya kazi yake, inamuumba yule “atakae liondoshaga na kulifutaga “ kwa kutupa Mfumo mpya, lakini kwanza lazima tuyaishi matunda ya kazi za mikono yetu hapo awali, haikwepeki.
Nature haijui kubagua wala haijui nini maana ya ubaguzi. Mstari wake ni mnyoofu sana na ndio unayafanya Maisha yaendelee kuhimiliwa hapa Duniani.
Kuhusu Family, ndio msimamo wangu.
Lakini hakuna strong family ya mwanaume au mwanamke mzinzi ndani ya Ndoa kwa sababu tu anazo pesa za kulainisha njia yake.
Family itakayojengwa kwenye misingi yenye nyufa za udhaifu wa aina hii, itaishi na pengine kudumu miaka dahali, ila Karma/Nature huwa haisahau, lazima irudi kuchora mstari tena na tena na tena mpaka panyooke.
Feminism Kama yangu hii?
Kwamba kuzungumzia usimamizi sawia wa viapo vya Ndoa na mikataba yake ya kimahusiano kati ya mume na mke ndio Ufeminist? Sasa hapa nikikuuliza Kama Una hakika huna maradhi ya kichwa nitakua nimekosea?
Divorces zinakosaje wakati binaadam mnataka muishi ki bachelor & slay queens ndani ya Ndoa iliyofungwa na Viapo na maagano mbele ya Mungu na Jamii?
Ndoa zinatoka wapi kwenye jamii iliyojaa wanaadam wanaotukuza vitu (mali + Starehe) na sio Utu wa mtu?
Sasa kuna sherehe za Harusi, it’s all about business in this plastic era.
Sijayaona hayo mavi? Wewe umeyaona wapi?
Kuhusu Ex/Wife wa DM Mimi hainihusu.
Ni wazi Pipa lilikua na Mfuniko wake na mmoja kamuwahi mwenzie. Sisi hapa ni wasomaji na watoa maoni katika mienendo ya kijamii.