Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

hawa ni wakirisito wametengana vitanda miaka 4 kila akiwa analala kwa hawala yake
 
Turudi kwenye hoja zetu za malezi ya watoto kulelewa na mama tu, mnafikiri hao watoto watapenda ndoa? Matokeo yake ndio hawa wapinga ndoa na mashoga, chanzo kingine ni kuvunjika kwa ndoa
 
Tena hawa ni mastaa wakubwa katika siasa lakini wameshindwa kuishi maisha ya ndoa. Anyway kafulila ni mwanaume nafasi ya huyo mke wake itazibwa fasta hata na mwanamke mwenye elimu ya chini na maisha yake ya ndoa yakaimarika. Ishu ni kwa ex wake kupata mume mpya, labda mpenzi tu wa kukidhi haja. Maana wanaume wengi huogopa kuoa fasta wanawake wanaoachika.
 
Mwanamke anaemuoa mwanasiasa ana roho ngumu ni kama raia kumuoa mwanamme askari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…