Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Dah tabu gani hizi kule five star hotel Arusha imekua hostel tena Dangote anafunga virago ntambia nini watu
 
Mleta mada umeelewa vema hiyo makala inahusu nini? Plz stop falsifying the mass.

Winding up imekuwa filed na wadeni wake, sio kiwanda kuomba hvyo.

Hii ni proceeding za kawaida katika kesi za madai ambapo wadeni wanaweza ungana ama mdeni moja kwenda mahakamani kuomba kufilisiwa kwa mdaiwa ili pesa zipatikane waliowe cha kwao.
 
Heading imenichanganya gazeti halisomeke ukizingatia ya malkia ndo kabisaa!

Ni uongo! afisa masoko anasema wameanza production .. Labda kama yeye ndo kanidanganya.

N.b. Uzi ufutwe
 
Baadaye Tutumie Kauli Mbiu Yetu Kuwa
Mabeberu Yamemshawishi Aondoke Ama
Alikuwa Halipi Kodi Huyu!!
😂😁😅😄😄😃😃
Ngoja Waje Wenyewe

Najiandaa Kununua Kiwanda Mtwara
Ama Serikali Ikichukue Tuhifadhie Korosho
😎🤨😑😶😶🤨😏😐😐
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Siyo huyo tu atakaye fungasha vilago Kwa kushindwa kufanya biashara

Hii inaitwa ni Anguko la kibiashara na Uchumi Duniani na kujengwa upya Kwa Uchumi wa Dunia Kwa mfumo mpya na mashariti mapya ya World Bank,

Miradi mingi ya Serikari itasimama na kote Duniani ispokuwa kwenye Baadhi ya nchi zilizoandaa na kuuleta huo mfumo Duniani, kutokana na nchi nyingi dunian kuwa na madeni makubwa ambayo zinadaiwa, Zitashindwa kujiendesha na kurejesha madeni Kwa kuwa serikali hazitakusanya Kodi tosherevu Kwa kuwa watu wake watakuwa masikini wa kutupwa wakihangaikia mkate wa leo

Basi kitakachofuata ni kuwekewa masharit ya kufuata ili ziweze kujinasua Kwa angalau kidogo na anguko Hilo la kiuchumi na watu wake wapate Japo kitu

Na kama nchi itashindwa kufuata masharti hayo, itaondolewa kwenye uhusiano wowote Kimataifa, na hapo ndipo mtawala mmoja tu wa Dunia itakapokuwa rahisi kuiongoza Dunia, maana atakachokuwa akikisema ni sharti kifuatwe, si mwingine, ni WB

Kipindi cha Hutauza Wala kununua ikiwa hutafuata maagizo yake,. Huyo ndiye atakayeisogeza kariiibu siku Ile ambayo Biblia imesema, maana atakuwa Ndiyo Yule mpinga Kristo, na hii ni Kwa wasomaji wa Biblia pekee,

Wakati Dunia inajiandaa Kwa maambukizi mapya ya Corona ambayo yatakuwa ni tishio na yaliyoongezwa nguvu mara dufu, nchi zote zitalazimishwa Ku lock down nchi zao na msukumo wa kufanya hivyo, utatolewa na WB na usipofanya hivyo Ka nchi kenu kanatengwa na hakatasaidiwa Kwa chochote, na hakatafanya biashara mahali popote, na itakuwa ni lazima nchi hiyo watu wake wapewe chanjo, na hiyo chanjo tayari ipo, na mtu yeyote asipochanjwa, atalazimka kutengwa hata na ndugu zake tena Kwa lazima na ikiwezekana atauwawa

Na hizo chanjo, ndio kaburi la Dunia, Kwenye amri za Freemason, kuna kitu kinaitwa, Dunia na kiasi kidogo cha watu, Uchumi mpya, Dunia Mpya, wanakadiria kuwa, dunia angalau iwe na idadi ya watu wasiozidi Milioni Mia tano ili rasilimali zilizopo zifiti idadi hiyo ya watu

Duniani kote kwenye swala la ajira litazidi kutesa watu na itafikia mahali ofsi nyingi zitafungwa, na maisha haya magumu yataongezeka maradufu si hapa Tz pekee Bali ni Dunia kote, na hiyo ikizidi saana, ndio itakuwa kengere ya muweka masharit ya namna Dunia iwe, nchi itakayokataa, watu wake hawatamwelewa kiongozi wao, watakuwa tayari Kwa lolote iwe Kufa na au lazima kuishi ktk masharti maovu ya WB ili tu wapate Kula na kufanya mambo mengine, masharti ya Ushoga hayakuwa ya kupingwa tena kama ilivyo leo, si mnajidai kuyakataa sasa, siku yaja ambapo, mashoga NAO watakuwa wakifanya mambo Yao peupe kama ilivyo Kwa wanajinsia mbili tofauti, lakini pia Kwa sasa, mashoga ndio matajiri wakubwa Kwa Dunia hii ya leo, Kwa hiyo, Nayo yatakuwa na sauti na lazima ifanyiwe kazi

Mwenye sikio na asikie. Dunia lazima ifikie tamati yake

Biblia inasema, mambo hayo kama hayatafupishwa, hata hao washika dini, hataokolewa hata mmoja, Biblia pia inasema, Hata ajapo mwana wa Adamu, Je, ataikuta Imani Duniani?

Shika Sana ulichonacho, asije muovu akakunyang'anya
 
Sasa wale ndugu zetu waliokuwa wamejishikiza kwa dangote sijui waende wapi wakapate ajira
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Mkuu washangilie kwa lipi we unaona habari nzuri hizo
Wote CCM na CHADEMA sote tuna ndugu na pengne tunanufaika na hicho kiwanda
Mfano tu mmoja bila dangote cement
Twigwa na mwenzie mbeya na tanga walikuwa wanajipandishia bei wanavyotaka lkn DANGOTE akaleta ushindani bei ikawa inatulia

Sasa ushangilie kwa kitu kinachoenda kutuumiza

Swali nani wa kulaumiwa ni chadema au mbowe ndo kamkimbiza DANGOTE

hakuna uchumi wa kati wakati Biashara zinafungwa kila uchwao
Huo uchumi una faida gani mafuta yanapanda bei cement haionekani hotel zinageuzwa hosteri viwanda vinafungwa
Halafu unataka tushangilie wakati nchi yetu inadidimia na tunaoathirika sisi wananchi wakawaida
 
Nyie mnaomzunguka Jiwe/wanufaika wa dictatorship ya Jiwe ndiyo mnasema uharo kama huo!
Wewe Unafikiria Watasema Nini?
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua!!
😀😁😂😅😏😐😐😁😂
Ukiona Kofia Imelowa Jasho, Jua Wazi Msuli Hautamaniki. 😎😀😁😂
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Kama mmeligawa taifa kwa ubaguzi wa kipumbavu mnategemea nini?

Acha kila mmoja ndani ya nchi hii aisome namba kivyake ili akili zikae sawa
 
Tanzania ina sera mbovu sana za uwekezaji-therefore sishangai Dangote anaondoka.Impact ya Dangote kuondoka ni kubwa sana kwa international investors manake this man yupo trusted na wakishasikia madhila yanayomkuta mwenzao tegemea changamoto kuwaleta
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa.
Ndio tuseme yote lakini tusihusishe matatizo ya menejimenti ya makampuni binafsi na sera za uwekezaji. Kushindwa kwao kuendesha hakuhusiani na sera huo ndio ukweli. Kwa mfano kati ya wawekezaji waliokuwa wapendelewa sana ni Dangote hakuna anayepinga hilo.
 
Back
Top Bottom