Siyo huyo tu atakaye fungasha vilago Kwa kushindwa kufanya biashara
Hii inaitwa ni Anguko la kibiashara na Uchumi Duniani na kujengwa upya Kwa Uchumi wa Dunia Kwa mfumo mpya na mashariti mapya ya World Bank,
Miradi mingi ya Serikari itasimama na kote Duniani ispokuwa kwenye Baadhi ya nchi zilizoandaa na kuuleta huo mfumo Duniani, kutokana na nchi nyingi dunian kuwa na madeni makubwa ambayo zinadaiwa, Zitashindwa kujiendesha na kurejesha madeni Kwa kuwa serikali hazitakusanya Kodi tosherevu Kwa kuwa watu wake watakuwa masikini wa kutupwa wakihangaikia mkate wa leo
Basi kitakachofuata ni kuwekewa masharit ya kufuata ili ziweze kujinasua Kwa angalau kidogo na anguko Hilo la kiuchumi na watu wake wapate Japo kitu
Na kama nchi itashindwa kufuata masharti hayo, itaondolewa kwenye uhusiano wowote Kimataifa, na hapo ndipo mtawala mmoja tu wa Dunia itakapokuwa rahisi kuiongoza Dunia, maana atakachokuwa akikisema ni sharti kifuatwe, si mwingine, ni WB
Kipindi cha Hutauza Wala kununua ikiwa hutafuata maagizo yake,. Huyo ndiye atakayeisogeza kariiibu siku Ile ambayo Biblia imesema, maana atakuwa Ndiyo Yule mpinga Kristo, na hii ni Kwa wasomaji wa Biblia pekee,
Wakati Dunia inajiandaa Kwa maambukizi mapya ya Corona ambayo yatakuwa ni tishio na yaliyoongezwa nguvu mara dufu, nchi zote zitalazimishwa Ku lock down nchi zao na msukumo wa kufanya hivyo, utatolewa na WB na usipofanya hivyo Ka nchi kenu kanatengwa na hakatasaidiwa Kwa chochote, na hakatafanya biashara mahali popote, na itakuwa ni lazima nchi hiyo watu wake wapewe chanjo, na hiyo chanjo tayari ipo, na mtu yeyote asipochanjwa, atalazimka kutengwa hata na ndugu zake tena Kwa lazima na ikiwezekana atauwawa
Na hizo chanjo, ndio kaburi la Dunia, Kwenye amri za Freemason, kuna kitu kinaitwa, Dunia na kiasi kidogo cha watu, Uchumi mpya, Dunia Mpya, wanakadiria kuwa, dunia angalau iwe na idadi ya watu wasiozidi Milioni Mia tano ili rasilimali zilizopo zifiti idadi hiyo ya watu
Duniani kote kwenye swala la ajira litazidi kutesa watu na itafikia mahali ofsi nyingi zitafungwa, na maisha haya magumu yataongezeka maradufu si hapa Tz pekee Bali ni Dunia kote, na hiyo ikizidi saana, ndio itakuwa kengere ya muweka masharit ya namna Dunia iwe, nchi itakayokataa, watu wake hawatamwelewa kiongozi wao, watakuwa tayari Kwa lolote iwe Kufa na au lazima kuishi ktk masharti maovu ya WB ili tu wapate Kula na kufanya mambo mengine, masharti ya Ushoga hayakuwa ya kupingwa tena kama ilivyo leo, si mnajidai kuyakataa sasa, siku yaja ambapo, mashoga NAO watakuwa wakifanya mambo Yao peupe kama ilivyo Kwa wanajinsia mbili tofauti, lakini pia Kwa sasa, mashoga ndio matajiri wakubwa Kwa Dunia hii ya leo, Kwa hiyo, Nayo yatakuwa na sauti na lazima ifanyiwe kazi
Mwenye sikio na asikie. Dunia lazima ifikie tamati yake
Biblia inasema, mambo hayo kama hayatafupishwa, hata hao washika dini, hataokolewa hata mmoja, Biblia pia inasema, Hata ajapo mwana wa Adamu, Je, ataikuta Imani Duniani?
Shika Sana ulichonacho, asije muovu akakunyang'anya