Kweli cdm wajitenge na hayo mazungumzo waendelee kimpango wao. Wanapoteza Muda tu.Hili suala la hawa wanawake 19 mpaka sasa limeshaonesha CCM hawako serious kwenye main issues za nchi yetu.
Chadema wanapoteza muda, na rasilimali fedha, kuendelea kufuatilia kesi ambayo kimsingi dalili zote zimeshaonesha kuna mchezo mchafu unaochezwa na CCM na idara zake.
Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Mhusika mkuu ni ccm hilo liko wazi hata mawakili wao ni ccm hilo liko wazi,Ndugai na chadema wapi na wapi,Magufuri na chadema wapi na wapi,Majaliwa na chadema wapi na wapi,Mahera na chadema wapi na wapi,Tulia Acksoni naye na chadema wapi na wapi,CCM wanatetea hao covid 19 ili wale waliowaita sana mabeberu waweze kuwakopesha hela,hapo shida ni hela tu na si kingine.CCM inahusikaje?
Uongo utakusaidia nini wewe masikini ?Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
CCM hamkosi kuomba radhi na hilo ndiyo tatizo lenu mnakosea makusudi eti tukielekea kufa tutaungama kwa Padre,mnafikiri Mungu alishasinzia???Endeleeni na upuuzi baadaye oh hakuna mwanadamu asiyekosea,oh yalishapita tugange yajayo,oh tuungane pamoja tujenge nchi,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI,UTAPELI TU.Nawapongeza kina mama shupavu 19 kupambania haki yao. Naipongeza mahakama kusimama kwenye haki. Spika kijana Tulia nae pia siwezi acha kumpongeza.
Rafiki punguza mahaba niue hukuzaliwa uwe ccm au chadema,bali ulizaliwa katika ardhi ya Tanzania ili uwe Mtanzania halali,unapoamua kuwa haramu sababu ya chadema au ccm basi wewe ni mwendawazimu,vyote hivi vyama vitakufa siku moja lakini Tanzania haiwezi kufa.Hawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
Hadithi zenu hazijawahi kuwasaidia, mtaanikwa kama ilivyokuwa mapolisiHawa watu wakiambiwaga fact wanatukana matusi tu ndio eanachojua.
Wanaambiwa kilasiku humu DJ anajua mchoro A to Z hawaelewi wana kaza mafuvu tu.
Muda ni msemakweli namba moja.
Huu upuuzi unaoendelea nataman uendelee watu wote waijue ccm na serkali vizuri labda watabadili approach ya kutafuta suluhisho.. KUPIGANA!Hili suala la hawa wanawake 19 mpaka sasa limeshaonesha CCM hawako serious kwenye main issues za nchi yetu.
Chadema wanapoteza muda, na rasilimali fedha, kuendelea kufuatilia kesi ambayo kimsingi dalili zote zimeshaonesha kuna mchezo mchafu unaochezwa na CCM na idara zake.
Watanzania wameshaona nia ovu ya CCM kwenye hili, Chadema wajitoe huko wawaache CCM waendelee na watu wao, na Mbowe aondoke kwenye yale maigizo ya maridhiano, vinginevyo kubaki kwenye maridhiano katikati ya hali hii ni kujiaibisha.
Kama mpaka leo bado hawajajionea..ok!Mkuu 'denooJ', hii ndiyo nafasi/fursa nzuri kabisa kwa CHADEMA, hasa wale wasioamini uigizaji unaoendelea chini ya Samia huku akiimba nyimbo za maridhiano/maafikiano.
Utamjuaje mtu unayetafuta maridhiano naye kama siyo kwa mambo kama haya?
Acha Mbowe na wenzake wajionee ukweli wenyewe, halafu wajiridhishe kwamba watu wanaofanya nao maridhiano ni watu wa kuwaamini au hapana.
Acha CHADEMA wajiridhishe, halafu tuone watakavyoendelea na mchezo huu.
Muda utakufundisha kuelewa.Hadithi zenu hazijawahi kuwasaidia, mtaanikwa kama ilivyokuwa mapolisi
Acha porojo please! Ni mjinga tu anayejifanya hajui ushenzi unaofanywa na Hawa washenzi. Na siku CHADEMA wakishinda mje muongeeTuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca
I feel for you. Lakini wakati mwingine ni vizuri kuachilia mchezo wote uende mpaka mwisho wake. Kama ilivyokuwa kwa Mbowe...Nadhani uendawazimu.
..Kama kina Halima wangejitetea kule kwenye baraza kuu lakini wakafukuzwa halafu wakaenda mahakamani then kungekuwa na sababu ya kujibu hoja zao.
..Ndio maana nasema Cdm wasiende mahakamani.
Tuliwaambia mkatutukana hafukuzwi mtu CHADEMA na hafukuziki ovyo!!!!
KUNA MAANA FULAN KUWA PALE BUNGENI NA MKUU WENU ANAJUA FIKA ….
Kama hajui wawafungulie kesi ya kufoji saini ya Mnyika!
Wajinga ndo waliwao , kaeni kushabikia msiyoyajua!!
Nasikia CHADEMA ngazi za chini wamemwangukia KINANA asaidie Bahati nzuri Memo nimeipata! Who is KINANA then ? You are jocking
Cc Evarist Chahali
Britanicca