Lucas Mwashambwa chura kiziwi angali hasikii?
 
Kitoa mavi mkubwa wewe!
yanakimbia vita zao uchwara huko na kuja kutusumbua sisi eti wanawekeza
 
Msamiati mzuri. Mama anaupiga mwingi.
 
Msomera hapafai asema mbunge za zamani, na kusimulia kwa kina sababu zake


View: https://m.youtube.com/watch?v=UjEt9Hm_ynk
Mbunge huyo mstaafu anajuta na kusema eneo la Msomera hakuna malisho, kupo kame sana tofauti na nyanda za juu za Ngorongoro mkoa wa Arusha hali ya hewa ni rafiki kutokana yakuwa ipo juu kijiografia kutoka usawa wa bahari joto kali halipo Ngorongoro, na pia hapo Msomera mtihani mwingine ni .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…