Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hawana hata mawasiliano nasikia Iran atawasukumia 10,000 Missiles na US kamwambia ataishambulia Iran, Iran kajibu we shambulia tu lazima pembe la shetani nilisambaze kwanza.Mahandaki ya nini tena si tulikubaliana humu sisi Wayahudi weusi kuwa Iran hawana uwezo wowote.
Huachagi porojo tu!?Maneno mengiiiii porojo nyingii
Iran si aanzishe hiyo vita aone mziki wake
Israel wameshasema wazi wako.tayari kuua viongozi wa juu wa Iran kila shambulio wakifanya
Israel uzuri ikishughulika na Iran haiuwi wananchi wa Iran wa kawaida ni kula vichwa vya viongozi wakubwa tu tena bila woga
Iran aanzishe vita aone muziki wake
Mossad kibao wako Iran wanasubiri Iran arushe kombora Israel wale kichwa
Makombora yaliyorushwa Israel kwa mamia yakaua mtoto.mdogo yalijibiwa kwa kuondoka na kichwa cha Raisi wa Iran na kiongozi mkuu wa Hamas
Warushe tena tuone vichwa vikubwa vitakavyoliwa
Handaki za nn tena akati kuna ayanidomo au ni kwa upande wa GazaWadau hamjamboni?
Mahandaki maalum Kwa Viongozi wakuu Israel yameansaliwa na idara ya ujasusi ya Jeshi la Israel almaarufu shin bet
Mahandaki hayo yapo jijini Yerusalemu na yanauwezo mkubwa kuhimili mashambulizi ya makombora na viongozi hao watasalia huko kwa kipindi chote cha vita
Taarifa kamili hapo
Shin Bet prepares underground bunker for leaders in case of war
Today, 5:17 pm
27
An underground bunker in Jerusalem where senior leaders can remain for an extended period during a war has been prepared by the Shin Bet security service, the Walla news site reports.
The bunker can sustain hits from a range of existing weaponry, has command and control capabilities, and is connected to the Defense Ministry headquarters in Tel Aviv, the report says.
hadhi Yao inaruhusu walindwe ,wengine sio mawaziri tu....nivitengo mashughuliHata digidigi hawaishi hivi!
Hamas wakijificha kwenye handaki wanaitwa panya haya vip hao ni nanhadhi Yao inaruhusu walindwe ,wengine sio mawaziri tu....nivitengo mashughuli
hadhi Yao inaruhusu walindwe ,wengine sio mawaziri tu....nivitengo
Ni wake za wakubwa wa US na NATOhadhi Yao inaruhusu walindwe ,wengine sio mawaziri tu....nivitengo mashughuli
Hao sio wapiganaji , viongozi wakuuHamas wakijificha kwenye handaki wanaitwa panya haya vip hao ni nan
Ni ujingaHayo Ni Mambo Ya Kawaida
Kama ilivo kwa wake za Putin Iran na mahawala wengine kwa russiaNi wake za wakubwa wa US na NATO
Kama aliyetoka kuhudhuria sherehe ya Rais alipigwa kombora kwa accurate target, unadhani ilishindikana kupiga hapo hapo wakati yupo kwenye sherehe na rais?Mahandaki ya nini tena si tulikubaliana humu sisi Wayahudi weusi kuwa Iran hawana uwezo wowote.
Waisrael sio kama Wapalestina, viongozi hawako tayari kwenda kujificha nyuma ya wanawake na watotoMahandaki ya nini tena si tulikubaliana humu sisi Wayahudi weusi kuwa Iran hawana uwezo wowote.
Tofautisha kati ya handaki na vile vichochoro vya magaidi kule GazaHamas wakijificha kwenye handaki wanaitwa panya haya vip hao ni nan