Mahandaki maalum kwa Viongozi wakuu wa Israel yameandaliwa na Idara ya ujasusi ya shin bet, yapo Jerusalem

Mahandaki maalum kwa Viongozi wakuu wa Israel yameandaliwa na Idara ya ujasusi ya shin bet, yapo Jerusalem

Maneno mengiiiii porojo nyingii

Iran si aanzishe hiyo vita aone mziki wake

Israel wameshasema wazi wako.tayari kuua viongozi wa juu wa Iran kila shambulio wakifanya

Israel uzuri ikishughulika na Iran haiuwi wananchi wa Iran wa kawaida ni kula vichwa vya viongozi wakubwa tu tena bila woga

Iran aanzishe vita aone muziki wake

Mossad kibao wako Iran wanasubiri Iran arushe kombora Israel wale kichwa

Makombora yaliyorushwa Israel kwa mamia yakaua mtoto.mdogo yalijibiwa kwa kuondoka na kichwa cha Raisi wa Iran na kiongozi mkuu wa Hamas

Warushe tena tuone vichwa vikubwa vitakavyoliwa
Huachagi porojo tu!?
Netanyahu amekanusha hajahusika na kifo cha Rais wa Iran.
Ila wewe mkristo wa Namtumbo unamsingizia kuwa kahusika.

Hiyo ni psychological warfare hata lile shambulio la May lilikua hivi hivi.
Kama Israel wako hawaogopi wasingewakimbiza viongozi wao katika bunkers.
 
Wadau hamjamboni?

Mahandaki maalum Kwa Viongozi wakuu Israel yameansaliwa na idara ya ujasusi ya Jeshi la Israel almaarufu shin bet

Mahandaki hayo yapo jijini Yerusalemu na yanauwezo mkubwa kuhimili mashambulizi ya makombora na viongozi hao watasalia huko kwa kipindi chote cha vita


Taarifa kamili hapo

Shin Bet prepares underground bunker for leaders in case of war
Today, 5:17 pm
27

An underground bunker in Jerusalem where senior leaders can remain for an extended period during a war has been prepared by the Shin Bet security service, the Walla news site reports.

The bunker can sustain hits from a range of existing weaponry, has command and control capabilities, and is connected to the Defense Ministry headquarters in Tel Aviv, the report says.
Handaki za nn tena akati kuna ayanidomo au ni kwa upande wa Gaza
 
Nakumbuka zile bunker za Manazi za kuhifadhi U-boat zao, pamoja nakupigwa makombora on WW2 lakini bado zilibaki salama.
 
Vita vya Russia vs Ukraine na za hapo Mashariki ya Kati kuna siasa 80% na vita 20%
 
hii vita inaenda kutokea, maisha yanaenda kuwa magumu soon kwa waafrica.
 
Mahandaki ya nini tena si tulikubaliana humu sisi Wayahudi weusi kuwa Iran hawana uwezo wowote.
Kama aliyetoka kuhudhuria sherehe ya Rais alipigwa kombora kwa accurate target, unadhani ilishindikana kupiga hapo hapo wakati yupo kwenye sherehe na rais?
 
Israel ni nchi peke dunia ambayo kila nyumba inayojengwa inakuwa na bunkers kwa chini, wana bunkers ambazo 90% ya wananchi wanaweza kuingia kwenye hizo bunkers, kila nchi inazo bunkers kwa ajili ya kiongozi( bunkers ni handaki
 
Back
Top Bottom