Hizo ni fedha za kudumisha amaniTatizo la utendaji hafifu ni kuteuana makada kufanya kazi za kitaaluma.
Ndio maana mna shindwa ku perform mna baki kuiba tuu.
Yaani pesa ina toka hazina na kupelekwa halmashauri nila maelekezo. Baadae mna zipiga . Sisi tuna ongezewa kodi.
Mungu ana waona maCcm
Muhongo na umeme wa Zero tarrif, unapata units 75 Kwa Elfu tisa tu.Kalemeni na Muhongo mimi ninawaheshimu sana
Hapo naunga mkono ndo ajaeSalim kikeke
Sasa yanaenda kumaliza bundleYalikuwa hayaivi yanamaliza umeme busara imetumika!
TTCL ife tuTTCL ijiandae kufa kwa mala ya pili...
Maharage kaja...
Kwanini hajapelekwa mambo ya nje kwa msanii mwenzake?
Hizo ni sarakasi za mama unaharibu huko unapelekwa kule nako ukaharibu!Ukiniuliza ni nini kimetokea nasema 'Hayo ni Mazingaombwe tu'
....Ndio umeme utapatikana?
Watafuteni wahujumu, wapo miongoni mwenu.
Huyu Ndiyo MaharageNiko paleee Nasubiria umeme uwake View attachment 2759152
Mtu akiganya madudu anatakiwa afikishwe mahakamani ili ukweli ujulikane.Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Ameteua pia mwenyekiti mwingine bodi ya tanesco ni mwanajeshi. Lazima pia waziri ateue wakurugenzi wengine kwenye bodi maana wale wa januari ni wafanya biashara na wazee kama mama majaar hawana usaidizi zaidi ya kufukuzia posho kubwa.Hii badili badili ya wakuu wa shirika la umeme haijawahi kuondoa Tatizo la umeme, mama atafutwe suluhu vinginevyo atabadili mpaka atachoka
Hatari ni mwendo wa pop corn kutoka kwenye kikaango kuanguka mdomoni!Sasa yanaenda kumaliza bundle
Halalamikiwi akiaribu pia ataambiwa ndio maana kuna cha zamani na kipya!Haya ngoja tuone. Isije ikawa baada ya wiki mnaanza kumlalamikia huyu mpya.
Kikeke anafit pale magogoni.Ndo nachowaza hichohicho