Well said Mkuu. Hizi ndizo analysis zinatakiwa na si kushangilia tu. Yaani mambo ni mengi. Nchi inaliwa mkuu. Ila saa ninajiuliza ule uzalendo wa Usalama wa Taifa upo tena? Ni kama vile Taifa linajiendesha visivyo kabisa. Je mkuu wa nchi kama nahodha mkuu naye anapata support ya kutosha kutoka key state apparatus? Hapo tumwachie ngoswe. I am out Zogwale
 
Muhongo na umeme wa Zero tarrif, unapata units 75 Kwa Elfu tisa tu.

Muhongo alitisha sana.
Ndiyo maana ninasema Muhongo arudishwe Nishati. Alipokuwepo kila kitu kilinyooka mpaka customer service 24 hours. Yaani tulisahau Shida ya umeme. Yaani awe permanent Minister kwenye hii Wizara kizungumkuti.
 
Hivi maharage ni mtoto wa Mohamed Chande Othman???
Maharage Chande ni mtoto wa Mzee Maharage Chande (baba yake aliitwa Maharage Juma Chande) wa Tanga na mtaa wa Kalenga, Upanga Dar es salaam.

Huyu Mzee Maharage Juma Chande aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga enzi za Nyerere.

Kaka yake Maharage Chande ni Balozi Mohamed Maharage Juma, alikuwa balozi UAE na Mkuu wa Itifaki.

Ukitaka kujua vizuri habari za kina Maharage mtafute Mzee Muhamed Said
 
Msigwa anajiona ameula mpaka anaandika kunshukuru Hangaya kumteua bila kujua hapo ameanza kutumbuliwa na mwisho wa siku tuhuma zote sasa zitamhusu hatimaye kutenguliwa mazima sijui atarudi TBC au ITV haijulikani.

Tabia ya kutetea uongo anatakiwa kuiacha ili alinde heshima yake
 
WAKUU WA TAASISI
  1. Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

18 December 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, ambapo meja jenerali Paul Kisesa Simuli sasa kuwa balozi wa Tanzania nchini Uganda


View: https://m.youtube.com/watch?v=nRngrmkf3Kg

Picha: meja jenerali Paul Kisesa Simuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…