Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo
Hahahahaha

Ogopa sana Fitna za kazini!

wakikupania kukung'oa lazima ung'oke

Hata vyuoni wahadhiri wakizidi ujuaji na unoko lazima watengenezwe waathirika feki wa unyanyasaji wa kijinsia

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?

Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?

This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.

Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,

Mosi, astaafishwe for the public interests

Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.


Haya yote yana mwisho.
Ushahidi wa hizi tuhuma unaweza kuuweka hadharani?, au ni mwendo ule ule wa watanzania wa kupenda kuchukia watu bila ya sababu za msingi?.
 
Hahahahaha

Ogopa sana Fitna za kazini!

wakikupania kukung'oa lazima ung'oke

Hata vyuoni wahadhiri wakizidi ujuaji na unoko lazima watengenezwe waathirika feki wa unyanyasaji wa kijinsia

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Tanzania imejaa watu wana roho mbaya sana, Wanao uwezo mkubwa wa kubuni hadithi kutoka vichwani mwao na kutengeneza sinema nzima yenye kujaa chuki!.

Hapo wanaowachukia kina Makamba unaweza kukuta ni jamaa zake Kalemani wanaosumbuliwa na hasira baada ya kutolewa pale wizarani mapema sana.
 
Unamkumbuka timu nzima ya januari ilivyolalamikiwa mapema kabisa baada ya kupewa wizara ya nishati,kuanzia bodi hakuna hata mmoja aliekubalika na hiyo tumeishuhudia baada ya kufeli kwa kiasi kikubwa sana ndani ya miaka miwili nchi imeingia kwenye giza nene haijawahi kutokea tangu Uhuru sasa naona samia kaona aibu anawahamishia sehemu nyingine

HOVYO
Mimi kwa hakika nakumbuka. Hata Prof.Issa Shviji hakukubaliana na Bodi.
 
Dk Abbas na Msigwa nawakubali sana kwenye tasinia ya usemaji wa Serikali.Walikuwa wanakosha sana.
 
[USERbora=9969]Mama[/USER] samia, usimsahau kijana wako mtiifu na mchapakazi Lucas mwashambwa.

Huyu kijana yuko radhi kutumia hela ya kununulia kilo ya unga, kununulia bundle ili tu aje akusifie humu jukwaaani na hivyo kutukata kabisa kiu watanzania. Chonde chonde Mama 🙏
Bora hata ungesemea P kuliko Mwashamba wa shamba😂😂😂
 
Mimi kwa hakika nakumbuka. Hata Prof.Issa Shviji hakukubaliana na Bodi.
Watu waliongea wakaonekana wanawaonea wivu sasa miaka miwili na nusu imepita tumeshuhudia failure ya hali ya juu mpaka imepelekea Mkurugenzi na Mwenyekiti wa bodi kutolewa.

Tatizo waliingia kimajungu haiwezekani uingie sehemu ubadilishe uongozi wote na bodi uvunje mwisho wa siku utakwama tu na ndio mana januari kafeli kakimbizwa huku nchi ikiwa gizani
 
Maharage hana uzoefu wowote na masuala ya Nishati. Maharage amebobea kwenye Telecommunications
Naafiki na mtazamo wako, hatahivyo, tukubaliane, kwamba Cheo alichokua nacho ilikuwa ni ile ya usimamizi wa Juu kabisa na majukumu yake ni tafauti kabisa na majukumu ya Lets say Mhandisi ambayo yanaweza kuhitaji kuwa na Uzoefu. Ni vizuri kuwa na uzoefu, lakini sio lazima, kwani huwa hashiki nyaya za umeme per se.

Yaliyotokea, uhamisho wake, ni dhahiri sio suala la kutokuwa na uwezo, au ukosefu wa ufanisi au kutofuata mahitaji ya mamlaka yake aliyopewa. Yaani His Mandates ambayo Naamini, yalikuwa ya kimkakati. Vilevile naamini Bodi ya Uongozi lazima walikuwa wakifuatilia, Je mahitaji yaliyowekwa yametimizwa? Kumbuka katika haya mazoezi ya kukatika umeme na mengine mengi yaliyotokea, huwa kuna Data sets, zinakusanywa na kufanyiwa tathmini, hii ni pamoja na makelele yetu huku mitandaoni n.k basically public feedback n.k

je ni maboresho gani yanaweza kuongeza thamani au kushusha kama ambavyo naona ndio kinachofanyika TANESCO?
..... Sasa ikiwa viashiria vilivyofafanuliwa vinaonyesha ufanisi wa mfumo, basi TANESCO inaweza kuwa imeiva kupanguliwa panguliwa na hatimaye kuuzwa au kuingia ubia na private sector. Sasa nikirudi kwenye siasa, ni kugawiwa kwenda kwa Wajomba! Ni Ufisdai ni Hujuma. Lakini kimkakati katika Shirika, inawezekana wamefika walipotaka kufika.
 
Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Kweli kabisa mkuu,
Shirika Kama tanesco linahitaji enforcement na sio kubembelezana.

Kalemani isingekua ukanda na ujiwe mwingin, aliimudu Sana tanesco[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?

Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?

This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.

Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,

Mosi, astaafishwe for the public interests

Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.


Haya yote yana mwisho.
Amepelekwa kwenye fan yake..... Utajuwa hujuwi....🤐🤐🤐
 
Mtwara moshi sijui mweusi au mweupe umewapitia
 
Back
Top Bottom