Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is too lowTangu Maharage aepuliwe, Leo Umeme umekatika Mara 2 tu, hongera sana CEO mpya Umeañza vizuri
Naamini kesho hautakatika.
Ushahidi wa hizi tuhuma unaweza kuuweka hadharani?, au ni mwendo ule ule wa watanzania wa kupenda kuchukia watu bila ya sababu za msingi?.This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?
Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?
This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.
Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,
Mosi, astaafishwe for the public interests
Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.
Haya yote yana mwisho.
Tanzania imejaa watu wana roho mbaya sana, Wanao uwezo mkubwa wa kubuni hadithi kutoka vichwani mwao na kutengeneza sinema nzima yenye kujaa chuki!.Hahahahaha
Ogopa sana Fitna za kazini!
wakikupania kukung'oa lazima ung'oke
Hata vyuoni wahadhiri wakizidi ujuaji na unoko lazima watengenezwe waathirika feki wa unyanyasaji wa kijinsia
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ndo tuseme TTCL hata kaburi lake halitajulikana lilipo?TTCL ijiandae kufa kwa mala ya pili...
Maharage kaja...
Kwanini hajapelekwa mambo ya nje kwa msanii mwenzake?
Kumbe!!!!!Naona nafasi ya salim kikeke ipo wazi kabisa pale ikulu
Yunus = KikekeNaona nafasi ya salim kikeke ipo wazi kabisa pale ikulu
Mimi kwa hakika nakumbuka. Hata Prof.Issa Shviji hakukubaliana na Bodi.Unamkumbuka timu nzima ya januari ilivyolalamikiwa mapema kabisa baada ya kupewa wizara ya nishati,kuanzia bodi hakuna hata mmoja aliekubalika na hiyo tumeishuhudia baada ya kufeli kwa kiasi kikubwa sana ndani ya miaka miwili nchi imeingia kwenye giza nene haijawahi kutokea tangu Uhuru sasa naona samia kaona aibu anawahamishia sehemu nyingine
HOVYO
Yawezekana wao ni mikono ya wakubwa zaidi kuchota pesa, maana vinginevyo wangefukuzwa.TTCL ijiandae kufa kwa mala ya pili...
Maharage kaja...
Kwanini hajapelekwa mambo ya nje kwa msanii mwenzake?
Bora hata ungesemea P kuliko Mwashamba wa shamba😂😂😂[USERbora=9969]Mama[/USER] samia, usimsahau kijana wako mtiifu na mchapakazi Lucas mwashambwa.
Huyu kijana yuko radhi kutumia hela ya kununulia kilo ya unga, kununulia bundle ili tu aje akusifie humu jukwaaani na hivyo kutukata kabisa kiu watanzania. Chonde chonde Mama 🙏
Watu waliongea wakaonekana wanawaonea wivu sasa miaka miwili na nusu imepita tumeshuhudia failure ya hali ya juu mpaka imepelekea Mkurugenzi na Mwenyekiti wa bodi kutolewa.Mimi kwa hakika nakumbuka. Hata Prof.Issa Shviji hakukubaliana na Bodi.
Naafiki na mtazamo wako, hatahivyo, tukubaliane, kwamba Cheo alichokua nacho ilikuwa ni ile ya usimamizi wa Juu kabisa na majukumu yake ni tafauti kabisa na majukumu ya Lets say Mhandisi ambayo yanaweza kuhitaji kuwa na Uzoefu. Ni vizuri kuwa na uzoefu, lakini sio lazima, kwani huwa hashiki nyaya za umeme per se.Maharage hana uzoefu wowote na masuala ya Nishati. Maharage amebobea kwenye Telecommunications
Kweli kabisa mkuu,Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa bhanaMaharage alivyoingia tu TTCL kwenye line yangu ya TTCL mtandao umeanza kusoma 2G kutoka 4G
Huyu jamaa kirusi narudi zangu tigo aisee
Amepelekwa kwenye fan yake..... Utajuwa hujuwi....🤐🤐🤐This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?
Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?
This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.
Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,
Mosi, astaafishwe for the public interests
Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.
Haya yote yana mwisho.