Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Maharage ameshasema wanakaribisha wadau na terms zao ni umeme wa gesi usivuke 6cents per unit na IRR isivuke 14-16 percent so km huyo Ame anaweza he is welcome with open arms. Hata wew pia km una msuli wa fweza na unakubaliana na terms just go there sio kujaa kijiba na husda
You guys pretend to be clever yet you just act smart...Unaposema tangazo liko pale unafikiri sikulisoma?

Na unapojibu, usijbu kama vile una attempt exam paper; know the context behind...Ni watanzania wangapi wana uwezo wa kununua hizo stocks or shares za TANESCO hata kama zitawekwa hadharani? Je ninyi (assuming them who are decision makers, are going to buy i.e direct or indidectly) msingepata hizo opportunities mlizonazo could you have been better than the everage Tanzanians?

Tunapoongelea ufisadi upo kwa namna na jinsi nyingi, moja ikiji feature kupitia hili...TANESCO is a public institution imekuwepo kwa miaka kwa nguvu za watanzania na siyo individuals (kodi zao na manunuzi ya huduma hiyo tena kwa bei ya faida)
leo hii mnapo wapoka watanzania mali yao na kui privatize bila kuwaandaa wao kama wao ili waweze kweli kushiriki katika kui own, what should I call that if not robbing?

Then you say mpo tayari, suppose mimi nakuwa ndiyo final decision maker huko mbele nikaja kuwa implicate unafikiri itakuwa rahisi kukwepa hii case ninayojaribu kuwaonyesha?

Please and please, msiwe so abstract simply because you have been advantaged by the environment iliyo wa select randomly kwa bahati mkadhani you do not have an obligation kulinda welfare ya watanzania na interests zao kupitia mali walizozitengeneza kwa jasho na damu zao...Ni hayo tu!
 
The idea might seem great but I see a lot of either ignorance or dishonesty ndani mwake, kwakua haimletei mtanzania added advantage badala ya kugeuka kuwa mchanja kuni na mbeba matofali kwenye nchi yake badala ya kuwezeshwa ili kama ni private basi aweze kuumiliki uchumi wake na hivyo kupunguza risks za capital flight kupitia hao foreigners ambao wanawezeshwa na nchi zao, wakishirikiana na hawa wa ndani ambao wamepata advantage yakuwa kwenye strategic position kwanza kupata hizo fursa then kuwa kwenye upande wa maamuzi huku wao wakiwa better off kwenye incomes kwasababu ya hizi biased payee schemes zisizozingatia equity kwenye nchi ya watu wengi ambao wanaishi chini ya dolar 2 kwa siku
 
Nashauri katika kila miradi ya jinsi hiyo kuwe na mikakati maalumu ya kuwawezesha watanzania wengi siyo kufanya tu jambo blindly bila kujua realities on ground...Zipo njia nyingi tu kama kweli kuna nia njema ila kama ni pretexting, then itabakia tu mimi kuamini ni ufisadi kama mwingine wowote, na pale itakapotokea nafasi ya kuuhukumu tutafanya hivyo...May God see you through!
 
Structural Adjustiment imetuacha masikini hadi leo, bado hatujifunzi tu baada ya mali zote za umma kufilisiwa na wao kuachwa bila ajira wala mbadala wake....Yet karne hii mnakuja na mipango ile ile, bahati mbaya sana!
 
Mwanzoni si baadhi ya hawa wahusika walipigia chapuo kuiuza Tanesco watu wakawapigia mayowe haoo haoo haoo haoo haoo haoo wakanyamaza naona huu ni mpango umekuja kivingine kuliuza shirika la Tanesco.

Kweli hamuogopi lakini iko siku isiyojulikana mtaongopa. Kama sinyie watoto wenu, kama sio watoto wenu wajukuu wenu, kama si wajukuu wenu watoto wa wajukuu wenu. Uovu hupatiliza hadi kizazi cha nne.
 
Yani mtu azae mtoto halafu amamwita jina la mboga ?! [emoji848][emoji57]

Labda kama itakuwa na maana nyingine ya kilugha!
 
Tatizo linaweza kuanzia hapo ulipoandika SIKUTAKA HATA KUSIKILIZA....

Hapo pana tatizo kubwa sana, kubwa mno.

Inawezekana kabisa kwamba "sisi" tuna uelewa mkubwa na maarifa mengi zaidi kuliko watu wengine. Hili ni jambo jema sana na ni jambo la asili (ni majaaliwa).

Lakini hii haitoi haki wala uhalali wa kutokuwasikiliza wengine tunaodhani wana uwezo mdogo kuliko "sisi".

Masikilizano ni nyenzo muhimu sana katika kujenga kwa pamoja.

Hii nchi ni yetu sote, angalau tuanze kwa kuwa tayari kusikilizana.
Hujaelewa ndugu. Ni hivi hao unaowatetea sio kwamba wana uwezo mdogo, la hasha. Wana uwezo mkubwa sana wa kutuvusha kwenye hili shirika. Tatizo ni kwamba ni walafi, watu wa deals, wezi na wabadhirifu. So chochote wanachokifanya kwanza wanatanguliza 10% plus urefu wa kamba then kinachobaki ndio nyie wapumbavu mnapewa. Hii nchi sio ya kuzungumzia suala la kukatika kwa umeme leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru. Mmelemazwa akili mpaka mnatetea utumbo. Na wewe unajiita ni msomi. Bahati mbaya sana.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kitu nilichokiona Watz wengi wanaongozwa na emotions pamoja na sentiments badala ya uweledi. Ni ajabu mtu kusema sijamsikiliza Maharage mpaka mwisho at the same time anakuja na tantalila za kukosoa! Pia kusema ZZK ni agent wa mabeberu kila kitu anachoongea ametumwa ni sweeping statements.

Maharage has been so transparent so far and the best CEO ambaye anashiriki mikutano ya wadau, anajibu maswali na nzuri zaidi anapokea ushauri. Pia anajitahidi kuwa mkweli na kuepuka kutoa ahadi za kufurahisha umati. Kwahiyo, kwa wale wenye chuki na husda better you man up mje na hoja, mawazo mbadala na solutions na sio kuita watu wezi, wapigaji n.k
Hakuna kitu hapo, usibezwe na staili yao hii mpya. Tena hapa unapigwa huku unacheka na hakuna mabadiliko utaona. Hao ni wezi, vibaka na wabadhirifu wa mali za umma, period.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Yani naona kabisa huyu Maharage na Zitto wamekaa wakaona waulizane maswali ya mpango wanaolekea kuutekeleza kutufanya mazombi.
Hivi kweli kwa akili ya kawaida kabisa Tanesco yenye madeni lakuki waende kuweka Bond kwenye DSE-hivi ni investor gani huyo mwenye akili timuamu anaweza kununua hizo bond kwenye shirika kama TANESco?

Eti wamewaomba Serikali deni walilokuwa nalo TANesco lowe kama EQuity dah-stupid kabisa
 
Kitu nilichokiona Watz wengi wanaongozwa na emotions pamoja na sentiments badala ya uweledi. Ni ajabu mtu kusema sijamsikiliza Maharage mpaka mwisho at the same time anakuja na tantalila za kukosoa! Pia kusema ZZK ni agent wa mabeberu kila kitu anachoongea ametumwa ni sweeping statements.

Maharage has been so transparent so far and the best CEO ambaye anashiriki mikutano ya wadau, anajibu maswali na nzuri zaidi anapokea ushauri. Pia anajitahidi kuwa mkweli na kuepuka kutoa ahadi za kufurahisha umati. Kwahiyo, kwa wale wenye chuki na husda better you man up mje na hoja, mawazo mbadala na solutions na sio kuita watu wezi, wapigaji n.k
Mkuu wewe utakuwa mgeni katika mambo ya utawala,unaweza kuongoza kama alivyofanya Magufuli kwa kufanya vitu kutokuwa transparent mkaibiwa vilevile lakini unaongeza risk ya watu kuhoji zaidi.Vilevile,unaweza kuongoza kama Kikwete kwa kujiganya upo transparent na mkaibiwa zaidi-kama ilivyo kuwa kwenye Utawala wa Kikwete na SAMIA.

Zitto ni chawa na ni mbaguzi na dhaifu dhidi ya kiongozi ambaye ni muslim-hapo ameuliza hilo swali la unafiki tu ambako halina mantiki kiuchumi
 
Hii Sio hoja, hata kama sio electric engineer kama una uzeofu wa management unaweza fanya training mbili tatu na ukaweka certified advisors wanaokusaidia ushauri.

Kwani Rais wa nchi anasomea? Sometimes experience na exposure with skills learnt over the course of you career can be sufficient to see you through
Mkuu hapa umeniabisha kwa kweli.
 
Mkuu hapa umeniabisha kwa kweli.
Ndio demokrasia mkuu Kila mtu ana haki ya kutofautiana mawazo na wengine. Mfano waziri wa afya sio daktari or mwenyekiti wa CCM hajasomea political science. Management needs more experience and ability to use company resources and human capabilities to bring results so hata angekua engineer Bado mambo ya investment kwenye umeme mngesema hajui IRR, ROI, Break even, cost per unit etc so hawezi jadili mkataba n.k
 
Sasa Kama Serikali inashindwa kusimamia swala dogo kama la umeme toka 1960 hadi waje private sector-kuna Serikali hapo.
Kwenye Market economy vitu vingi vinasimamiwa na private sector na sio dhambi as long as wanaleta results. Mbona hta kwenye afya Kuna PPP same to bandari..... Na hata Barabara ya Morogoro itajengwa kwa PPP. Madini pia yamechimbwa na private sector miaka yote..... Gesi pia Iko under private sector.

So sio jambo Geni kabisa maana private sector Kuna ufanisi mkubwa kuliko serikalini. Private sector anatafuta faida so huwezi sikia ufisadi au uzembe kama serikalini.
 
Structural Adjustiment inetuacha masikini hadi leo, bado hatujifunzi tu baada ya mali zote za umma kufilisiwa na wao kuachwa bila ajira wala mbadala wake....Yet karne hii mnakuja na mipango ile ile, bahati mbaya sana!
Tukiwa wakweli private sector au serikali ni mashirika Gani ya ufanisi? Mfano Air Tanzania ingekua ya mtu binafsi ingekua na failures kiasi kile? Tatizo serikalini people don't care kabisa tofauti na private sector ukiiba tu asbuhi umetimuliwa, ukiwa mzembe unaondolewa, they want results sio huko serikalini wanajifanya kazi kwa mazoea.
 
Tukiwa wakweli private sector au serikali ni mashirika Gani ya ufanisi? Mfano Air Tanzania ingekua ya mtu binafsi ingekua na failures kiasi kile? Tatizo serikalini people don't care kabisa tofauti na private sector ukiiba tu asbuhi umetimuliwa, ukiwa mzembe unaondolewa, they want results sio huko serikalini wanajifanya kazi kwa mazoea.

Serikali wakati wa awamu ya tatu walibinafsisha mashirika ya umma kwa bei za kiwizi wizi za scrape values.

Tuambie kwenye mashirika ya umma yaliyo binafsishwa ni asilimia ngapi ili fufuka na inafanya vizuri ukilinganisha na ambayo yamekufa zaidi. Usinitajie Sigara wala TBL maana yalikuwa yakifanya vizuri wakati yanabinafsishwa.

Mkurugenzi anasema serikali imegeuza madeni yake zaidi ya 2T kuwa mtaji. Serikali si Tanesco sasa unaweza kuchukua deni lako mfuko wa kuume ulihamishie mfuko wa kushoto na likiingia huko ligeuke kuwa Mtaji.
 
Kwenye ubinafsishaji nchi hii hakuna anayekuja na hoja mfu, wote wakiongea huwa ni facts not poyoyo, sasa basi subiri baadaye uwekezaji ukiwa on running!.
 
Tukiwa wakweli private sector au serikali ni mashirika Gani ya ufanisi? Mfano Air Tanzania ingekua ya mtu binafsi ingekua na failures kiasi kile? Tatizo serikalini people don't care kabisa tofauti na private sector ukiiba tu asbuhi umetimuliwa, ukiwa mzembe unaondolewa, they want results sio huko serikalini wanajifanya kazi kwa mazoea.
Kwahiyo hilo ni kosa la nani? Raia wa Tanzania ama?

Nimesema efforts zipi zinafanywa na tuliowapa dhamana kuwafanya watanzania wamiliki hilo shirika lao lenye pesa zao wao kama private? Si hao hao ambao walipata random luck wakawa kwenye coffers za public funds ndiyo wataishia kujiita private na kuwaacha masses poor kwa pretext ya privitization?
 
Kwenye Market economy vitu vingi vinasimamiwa na private sector na sio dhambi as long as wanaleta results. Mbona hta kwenye afya Kuna PPP same to bandari..... Na hata Barabara ya Morogoro itajengwa kwa PPP. Madini pia yamechimbwa na private sector miaka yote..... Gesi pia Iko under private sector.

So sio jambo Geni kabisa maana private sector Kuna ufanisi mkubwa kuliko serikalini. Private sector anatafuta faida so huwezi sikia ufisadi au uzembe kama serikalini.
Hakuna anayekataa theory the dejure, lakini kwenye defacto je hao private ni akina nani? Wanawezaje kupata hiyo thamani? Kumbuka hiyo capital yote imekuwa built na public ya watanzania siyo hao individuals, na input yake ni natural capital ambayo ni mali iliyopewa Tanzania na nature, ama kwangu mimi muumini Mungu; kwanini hao private wao wasije na capital yao ku invest kwa bei yenye thamani halisi ya "natural capital" yetu ili basi hiyo cash value wawape watanzania? (Ukiniambia nii value itakuwa times 100M ya hiyo capital wanayoitaja bare this in mind) Kuna mwekezaji atafanya huo ujinga? Kwahiyo ku translate hiyo value ya natural capital yetu. Ilikuwa kazi ya DG ili watanzania waneemeke kupitia shirika lao kwakuliweka mikononi mwao kupunguza free riding characteristcs za public good. Kwahiyo, kama na yeye anataka kuligawa kijanja ama kwakujua au kwa ignorance tumnyamazie? Why and how?

Kama hajui jinsi ya kuzi translate hizo values ili ziwafaidishe watanzania wakaida, akiri tumwonyeshe, na asi extrapolate limitation yake kwa public ya Tanzania...
 
Back
Top Bottom