Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

huyu maharage aliteuliwa na nani...si rais...?shida si maharage shida ni huyu mama ndo tatizo kwa nchi analea ujinga...analea wafanyakazi mzigo...
 
Huyu maharage hana sifa wala uwezo kuendesha tanesco. Tatizo hawa wahuni aliyowaamini mama wanamshauri kupeana teuzi kishikaji. Wameondoa watu waliyosimamia tanesco vizuri team ya kalemani na CEO wake wakapangana waswahili wenye kujua kupiga watoto wa mujini eti sio washamba kama kina magufuli. Team ya majaliwa na biteko wapange upya kuanzia bodi tanesco. Ujuzi itikadi sahihi na uzalendo ni muhimu. Kina gachuma majaar na barhesa yote ni maslahi tu ya wafanya biashara.
 
Kumbuka kauli ya Mh Naibu waziri mkuu kuwa Watanzania wanahitaji umeme tu.
Kwa hiyo umeme umeshikiliwa na Maharage na Staff wa Tanesco? Haya umeme umekuja? Hao Watanzania ni mburula kiasi kwamba hawawezi eleweshwa sababu wakaelewa?

Waambie Serikali watoe pesa ku diversify vyanzo sio kuleta ujinga,hizo pesa hatoi Chande Bali Biteko na wenzie huko Serikalini.
 
Ndio maana ya kutolewa kikaoni ili akafuate hela kama shida ni hela ndio aende huko akaseme anaomba hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Labda alikua na bifu nae si unajua wabongo kwa kulipiza

Bifu la nini wakati reality ni kwamba umeme hakuna? Badala ya kushughulikia tatizo anaendekeza projects na kufunga tai. Tai unafunga wakati unasherekea mafanikio na si wakati wa kutoka jasho. Hapo ndo shida kwa nchi yetu. Kama vipi arudi Multi-Choice tu! Tanesco is a public office ambako lazima jasho likutoke.
 
Lucas mwashambwa acha tabia ya kuwa na double standard! Just imagine Hata huyo unayem praise sana anakufikiriaje! Ungetueleza Maharage ashughulikie tatizo kwa namna gani ukizingatia taasisi nayo ilishakuja na jibu la kwamba shortage inatokana na kuchelewa kwa mvua/upungufu wa maji. And what if kwenye hiko kikao alikuwa na alternatives za ku present. By the way hata ningekuwa mimi ningemtimua tu kwenye hiko kikao kwasababu Maharage was fulfilling his responsibilities on behalf of the one who suggested him to the appointer.
 
Zero brain Chande ndio Huwa anafuta pesa za kutekeleza miradi ya Tanesco? Toeni ujinga hapa ,pelekeni hela Tanesco
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Ndio akamfuate anayetoa hela amwambie atoe hela ili asifukuzwe tena kikaoni. Ndio maana NW mkuu akasema watanzania wanahitaji umeme,kwa hiyo ili usifukizwe kwenye vikao kwasababu ya kutokuwepo kwa umeme basi hakikisha unawatafuta wahusika mapema wakipatiwa kile kinachokwamisha upatikanaji wa umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…