ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Biteko na wenzie ndio watia hela,amfuate wapi? Toa ujinga hapa.ππππ Ndio akamfuate anayetoa hela amwambie atoe hela ili asifukuzwe tena kikaoni. Ndio maana NW mkuu akasema watanzania wanahitaji umeme,kwa hiyo ili usifukizwe kwenye vikao kwasababu ya kutokuwepo kwa umeme basi hakikisha unawatafuta wahusika mapema wakipatiwa kile kinachokwamisha upatikanaji wa umeme.
Wenzie akina nani sasa πππ kila mtu anawajibika eneo lake na siyo kimvuli cha wenzie. NW mkuu anasema watanzania wanahitaji Umeme tu.Biteko na wenzie ndio watia hela,amfuate wapi? Toa ujinga hapa.
Wenzie akina nani sasa πππ kila mtu anawajibika eneo lake na siyo kimvuli cha wenzie. NW mkuu anasema watanzania wanahitaji Umeme tu.Biteko na wenzie ndio watia hela,amfuate wapi? Toa ujinga hapa.
Sasa Biteko hakijui Hilo? Au anataka muujiza gani?
Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.
Mwambie Biteko atoe hela apeleke Tanesco,kumtimua Chande kwenye kikao hakujaleta umeme Hadi saizi asilete mambo ya kijinga hapaWenzie akina nani sasa πππ kila mtu anawajibika eneo lake na siyo kimvuli cha wenzie. NW mkuu anasema watanzania wanahitaji Umeme tu.
Mafuta yanazingua umeme hakuna analeta porojo na maigizo ya kitoto hapaAnajichekesha tu. Bora angebaki madini wabongo hawajui lolote kuhusu madini wao wameambiwa walime kabeji tu ndo kazi wanaweza. Huku nishati kila mtu inamgusa sio muda atageuka mbaya wao.
Mkuu kwani kati ya waziri na katibu mkuu wa wizara nani anayeidhinisha na anayetoa hela?Mwambie Biteko atoe hela apeleke Tanesco,kumtimua Chande kwenye kikao hakujaleta umeme Hadi saizi asilete mambo ya kijinga hapa
Yeye ndie MD - hawezi kukimbia matatizo ya TANESCO. Ameweza kuirekebisha Customer care - iko vizuri. Sasa aangalie kuhusu upatikanaji wa huo umeme. Maana hai-make sense kuunganisha wateja wengi ambao hawapati umeme.Nani anaemteua? Halafu kwani Maharage Chande ndio kaleta ukame? Maharage ndio mtoa pesa za kuanzisha vyanzo vipya? Upuuzi.
Ila Sasa Kwa Afrika Jamaa wanaodhalilisha hivi na kuongea ndio huonekana Viongozi Sasa ππ
Hata Nyerere Dam ikikamilika , bado tatizo halitaisha ,kila siku watu ,/kaya za watumiaji wapya wa nishati ya umeme wanaungwa kwenye grid kwa. Kupitia REA .Watu wengi wanafikiri umeme unatosha nchi hii...
Umeme hautoshi na kwa kipindi kirefu hakukuwa na chanzo kipya cha umeme..
Tunasubiri Julius Nyerere Dam ikamilike..
Naona ile connection ya line kutoka Arusha kwenda Namanga inakaribia kuisha... Wanunue hata megawatts 400 kutoka Ethiopia unaopitia Kenya pengine unafuu utapatikana
Waziri alete pesa hakuna maneno hapa,Tanesco wanahitaji 4T Ili ku stabilize grid ,Kwa hiyo Waziri wako asikizungushe na kuleta maigizo ya kijinga.Mkuu kwani kati ya waziri na katibu mkuu wa wizara nani anayeidhinisha na anayetoa hela?
Haya ndio Maneno...Watanzania wanataka UMEME; hayo matatizo ni ya kwao. Kuna MD, Katibu Mkuu, Naibu Waziri, na Waziri - ndio maana wapo hapo. Wakayatatue. Sasa watanzania wakiambiwa hayo matatizo - ndio waende wakakae kwenye Ofisi za Tanesco na Wizara kuyatatua?Kumbuka kauli ya Mh Naibu waziri mkuu kuwa Watanzania wanahitaji umeme tu.
Jina lenyewe Maharage akili je?Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu?
Na Biteko ikaja kujua dili za Luku atamla kichwa mazima.
Kaambiwa nenda kashughulikie Umeme. Alikuwa high Table amekaa kwenye Maonesho yanayoendelea ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam
Tarehe 25 Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kutokana na Mgao Mkubwa wa Umeme unaoendelea Nchini, Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.
Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Maharage Chande aliwaomba Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kuna Upungufu wa Umeme unaosababisha baadhi ya Maeneo kuwa na Umeme na mengine kukosa Huduma hiyo
Maharage alisema "Katika Mtandao wa Umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara na pale zinapotokea Wateja wetu huwa tunawataarifu. Tunapopata upungufu sio Nchi nzima inakuwa haina Umeme ila ni kwa baadhi ya maeneo na huwa tunatoa taarifa"
Sasa baada ya kwambiwa aende kushughulikia umeme, nulijua ataenda site. Cha ajabu yupo Ofisini kwake Ubunge kaka huku tai ameilegeza, inaonekana ana mawazo sana.
Tumuombee presha yake isipande.
Baadhi ya Watanzania wamesema mgao wa umeme umekuwa ukisababisha hasara katika biashara zao mara kwa mara. Na wamelitaka shirika la umeme (TANESCO), kutoa taarifa rasmi ya jinsi mgao huo unavyoendeshwa. Je, kwa sasa Tanesco inazalisha kiwango gani cha umeme? Ni upungufu wa aslimia ngapi?
Nyerere Dam ikiisha tutapata unafuu kwa miaka 3 hivi....Hata Nyerere Dam ikikamilika , bado tatizo halitaisha ,kila siku watu ,/kaya za watumiaji wapya wa nishati ya umeme wanaungwa kwenye grid kwa. Kupitia REA .
Grid hii hii ambayo haina ongezeko la vyanzo vya nishati , unategemea nini ?
Ni lazima serikali iwekeze pesa za kutosha kujenga vyanzo vipya vya kufua umeme .
Maana population inaongezeka na mahitaji yanaongezeka kila kukicha .
Tuwekeze kwenye kujenga vinu vya kufua umeme kwa makaa ya mawe ,nuclear na gas .
Hamna solution zaidi ya hiyo .
Kila siku watakuwa wanatufanyia maigizo yasiyo na kichwa wala miguu kama hivyo .
Wakati wanatetea dili la gesi ya mtwara kipindi like sio?