Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu

Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake.

Kaambiwa nenda kashughulikie Umeme. Alikuwa high Table amekaa kwenye Maonesho yanayoendelea ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

Tarehe 25 Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka

Kutokana na Mgao Mkubwa wa Umeme unaoendelea Nchini, Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Maharage Chande aliwaomba Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kuna Upungufu wa Umeme unaosababisha baadhi ya Maeneo kuwa na Umeme na mengine kukosa Huduma hiyo

Maharage alisema "Katika Mtandao wa Umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara na pale zinapotokea Wateja wetu huwa tunawataarifu. Tunapopata upungufu sio Nchi nzima inakuwa haina Umeme ila ni kwa baadhi ya maeneo na huwa tunatoa taarifa"

Sasa baada ya kwambiwa aende kushughulikia umeme, nulijua ataenda site. Cha ajabu yupo Ofisini kwake Ubunge kaka huku tai ameilegeza, inaonekana ana mawazo sana.

Tumuombee presha yake isipande.
Kawaida tu tushazoea
 
Watu wengi wanafikiri umeme unatosha nchi hii...
Umeme hautoshi na kwa kipindi kirefu hakukuwa na chanzo kipya cha umeme..

Tunasubiri Julius Nyerere Dam ikamilike..
Naona ile connection ya line kutoka Arusha kwenda Namanga inakaribia kuisha... Wanunue hata megawatts 400 kutoka Ethiopia unaopitia Kenya pengine unafuu utapatikana
 
Ni kweli inatakiwa akashughulikie umeme na siyo kukaa mezani. Ni muda wa kwenda kukaa na watumishi wote kuhakikisha kuwa watanzania wanapata umeme. Watanzania wanataka umeme waendelee na shughuli zao za uchumi, kuendelea kukaa kwenye vikao badala ya kwenda kuumiza kichwa ya namna ya kulipatia Taifa umeme ni sawa na kuwatia umaskini Watanzania,Ni sawa na kuwarudisha nyuma wajasiriamali,Ni sawa na kukwamisha uzalishaji viwandani na hivyo kupelekea upungufu wa bidhaa na hivyo kupanda kwa Bei kwa Bidhaa na hivyo kumuumiza mwananchi. Ni kweli inamoasa aende akashughulikie suala la umeme ili kuliondoa Taifa na Taharuki ya umeme,ni kweli aende akashughulikie umeme ili watu wasipate hasara ya kuharibika kwa bidhaa zao kama vile samaki wabichi kwa kukosekana kwa umeme. Inatakiwa aende akakune kichwa ili watu wapate umeme.

Mh Rais anataka wananchi wake wanaompenda na kumuunga mkono kwa mamilioni yao wapate umeme wa uhakika,.hivyo anapaswa kwenda kuweka mipango ya kuhakikisha umeme unapatikana kwa njia yoyote ile. Ni kweli inatakiwa aondoke hapo kikaoni hadi kwenye mabwawa ya kufua umeme ili kujuwa nini kifanyike na hali ikoje na siyo kusubiri ripoti mezani bila kujuwa hata uhalisia.
Unakijua chanzo Cha shida ya umeme au unaandika andika tuu ilimradi?
 
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake.

Kaambiwa nenda kashughulikie Umeme. Alikuwa high Table amekaa kwenye Maonesho yanayoendelea ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

Tarehe 25 Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka

Kutokana na Mgao Mkubwa wa Umeme unaoendelea Nchini, Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Maharage Chande aliwaomba Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kuna Upungufu wa Umeme unaosababisha baadhi ya Maeneo kuwa na Umeme na mengine kukosa Huduma hiyo

Maharage alisema "Katika Mtandao wa Umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara na pale zinapotokea Wateja wetu huwa tunawataarifu. Tunapopata upungufu sio Nchi nzima inakuwa haina Umeme ila ni kwa baadhi ya maeneo na huwa tunatoa taarifa"

Sasa baada ya kwambiwa aende kushughulikia umeme, nulijua ataenda site. Cha ajabu yupo Ofisini kwake Ubunge kaka huku tai ameilegeza, inaonekana ana mawazo sana.

Tumuombee presha yake isipande.
O Level alisoma Forodhani....

Walikuwa manguli sana wa hesabu yeye na mwenzake Mavere Tukai ambao wazazi wao ni wazee wa kitengo....


Mwenzake analinda legacy iliyotukuka ya baba yake, yeye anapambana kuharibu misingi ya imani aliyiwekwewa.

Anachokipanda ndo akivunacho. Mwezi wa kwanza ni toto mpendwa haanguki mpaka aanguke mwenyewe
 
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake.

Kaambiwa nenda kashughulikie Umeme. Alikuwa high Table amekaa kwenye Maonesho yanayoendelea ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

Tarehe 25 Septemba 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka

Kutokana na Mgao Mkubwa wa Umeme unaoendelea Nchini, Maharage anadai hakuna Mgao bali ni Upungufu wa umeme.

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Maharage Chande aliwaomba Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kuna Upungufu wa Umeme unaosababisha baadhi ya Maeneo kuwa na Umeme na mengine kukosa Huduma hiyo

Maharage alisema "Katika Mtandao wa Umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara na pale zinapotokea Wateja wetu huwa tunawataarifu. Tunapopata upungufu sio Nchi nzima inakuwa haina Umeme ila ni kwa baadhi ya maeneo na huwa tunatoa taarifa"

Sasa baada ya kwambiwa aende kushughulikia umeme, nulijua ataenda site. Cha ajabu yupo Ofisini kwake Ubunge kaka huku tai ameilegeza, inaonekana ana mawazo sana.

Tumuombee presha yake isipande.
Alitakiwa kuondoka na Makamba the very same day. Hata bodi ya TANESCO haitoshi ina takiwa ivunjwe.
Hivi Kalemani Mb aliwezaje kutuoatia umeme 24/7 kwa miaka sita?? Ccm mmezidi wizi na ubabaishaji.
 
Back
Top Bottom