Ulivyoandika kama msomi mbombezi kumbe mpiga umbeya tu.Wapinzani katika ubora wenu mmeanza tena kutuletea ramli zenu chonganishi!!!
FYI utabiri wako will never come to pass - Serikali ya CHAMA tawala na Wabunge wake hawawezi kuruhusu mpasuko wowote ndani ya Serikali na kwenye CHAMA,wana inbuilt mechanisms za kuhakikisha hilo halitokei hasilani - kama ulisikiliza vizuri rai ya CDF jana kuna kitu alipaswa kujifunza i.e ungefikiri mara mbili kabla hujatuletea bandiko lako hapa. Good day.
Kuna watu wana mashaka na vyeo vyao. Viroho vinadundia kooni.Pointi yako ni nini hapa mwanangu?
Apangue kwa hekima yake yeye mpanguaji au kwa hekima za wanaopanguliwa?Unapangua Kwa hekima, sio unafika unafukuza katibu, Kesho Waziri mkuu, Kesho hivi keshokutwa vile duh
Mchezo mchezoni.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Hujajua wangapi wako upande huu na wangapi upande ule, na hapo bado hujahesabu wale ndumilakuwili na "bendera-fuata-upepo"Ile siku wanakaa kikao, wanapelekewa wajeda ili kulinda usalama wao.
Na wengine wanawekwa ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi
Usicheze na mtu aitwaye Amiri jeshi mkuu
Katika hao wa kumwambia kinachoendelea, masnitch wamo miongoni mwao. Ni mwendo wa kupotezeana ramani tu. Kama ananisikia aanze na hao before it is too late.Wewe ndio unadhani urais ni mtu mmoja maana unataka kutuonyesha kwamba hayo yote yakifanyika Rais kalala tu he knows nothing kinachoendelea kule bungeni.
Kwahiyo wavunje katiba? Ni utawala wa kijeshi au?Haya yote yanafanyika huku mabaka baka wakiwa wapo tu wanaangalia mnavyocheza na amiri jeshi wao. Labda kama na wao hawamtaki.
Yuko kambi gani huyu? Tunajua kuna kambi ya marehemu (nimesikia wakiitwa 'yatima') na kuna kambi ya mamvi (imeibuka kutoka mafichoni). Wote wamempania mama. Niliwaelewa wale waliomhakikishia mama ushirikiano kwenye salamu zao jana, wanajua hana kambi na anahitaji kuungwa mkono.Elias John Kuandikwa for VP ndiyo dokezo Hilo ...!
heheheHapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha
Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.Kwahiyo wavunje katiba? Ni utawala wa kijeshi au?
Ili afanikiwe lazima apangueHatujafikia kiwango hicho Ila itafikiwa endapo Rais ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Wala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwaHatujafikia kiwango hicho Ila itafikiwa endapo Rais ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Rais akivunja bunge yeye anabaki kuwa rais.I think not everything is about timing!
Atakapolivunja bunge na “ngoma ikaanza upya” , nani anakua ni Rais kwa muda huo wakati ‘ngoma’ ikiandaliwa ianze upya?
VP anayekuwepo Ana mamlaka gani juu ya Rais katika kipindi cha kuandaa “ngoma” kwa mujibu wa katiba ya JMT?
Jeshi la Ulinzi na Usalama lina nafasi gani katika hii equation?
CDF, miguu yake itakuaje? Mmoja ndani mwingine nje? Yote miwili ndani? Yote miwili nje?
Hotuba yake ya Leo ya CDF, wewe mtoa mada umepata ‘ujumbe’ gani?
Hapo kwenye kuitisha uchaguzi tena hapo wabunge hawatakubali kufika huko maana wanajua walivyo upata ubunge huo na wana hakika likitokea hilo hawata rudi tena hapo watatii tu mamlaka iliyopo.Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.
Kwa katiba yetu kuna vitu vitatu tu vinaweza mtoa raisi:
Nguvu ya uma
Jeshi lililoasi(Usalama, mabakabaka, polisi)
Kifo au ugonjwa beyond repair.
Umeielewa lakni comment yangu au umekrupuka na hangoverWala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwa
Lakini pia kundi hilo linamikakati ya kuonesha umma kwamba hakuna rais atakaye mzidi huyo wa kwao kiutendaji na kwamba huyo alikuwa masihi na nabii mtukufu kweli kweli hawezi kutokea tena mwingine.
Ila pangua yake lazima iwe ya kimkakati kama alivyo fanya mtanguliz wake atatoka mmoja mmoja taratibu hadi wataisha wote na wqtakao baki ni wale tu ambao hawana upambe.
Lile dokezo alilosema? Sawa, tunasubiri.Subiri Mabeyo aongee na Samia kwanza.
Hakuna kitu kama hicho kitatokea,jeshi liko nyuma ya Raisi Samia suluhu Hassan.Unafikiri rahisi kihivyoo eeeh.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Watamuasi spika. Uitishe uchaguzi wa ubunge upya kisha uwaite wapinzani na kuahidi free and fair election mbunge gani atataka kuangalia hilo movie la kutisha usiku akiwa mwenyewe kwenye ukumbi wenye giza?Hapo kwenye kuitisha uchaguzi hapo wabunge hawatakubali kufika huko maana wanajua walivyo upata ubunge huo watatii tu.
Sijaielewa comment yako na nimekurupuka na hang over.Umeielewa lakni comment yangu au umekrupuka na hangover