Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.
Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?
Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.
View attachment 3137576Nimefanikiwa sana π π π
Kuna cha kujifunza hapa; baada ya hapo hukuanzisha mahusiano mengine?Nililelewa na niliamini kumoenda mwenza wako kwa moyo wako wote, kujitoa kwake na kumuweka mwenza wako kwanza.
Kuwa muaminifu kwake na kumpa heshima na adabu zote za kiafrika.
Kumbe nilikuwa nampigia mbuzi gitaa, he take advantage of me having so many sources of fund, he collects alot of funds for his benefits then start to be bitter.
I quit and start all over again.
The loss I incurred was the investment for future as a lesson not to repeat the mistake π.
Tatizo ni hasi na chanya π ; ndio maana tajiri namba moja anatengeneza maroboti kama mbadalaKwani unashikiwa bastola mkuuπ€£π€£
Kamanda huyu hapa, ukitaka suruali iwe na viraka vingi ni wewe tu π πAnaeihitaji mapenzi yenye faida anipigieee.....
Pongezi kwako, wapo wengine wanalia mpaka leo, wamezurumiwa mpaka watoto.Faida nyingi sana hata hazielezeki, ni Mungu alikuwa upande wangu
Hata hizo hasara chache kwa sehemu kubwa ni ujinga wangu mwenyewe
Huwa nasoma comments zako inaonesha umepata mwanamke bora. Wengine humu wamejaa hasira na chuki kwa wanawake kumbe ni magarasa waliyookota huko yamewanyoosha. Hongera sana.toka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa
2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi
3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano
4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.
5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
Unaishi kwenye maono ya 50 cntI have a stable income, that caters for all my needs. I can afford traveling for holidays outside the country at least twice a year. I have my own place, and thank God I have enough package for tithing, offerings and charity. I simply can do most of things I dreamt of doing when I was a boy.
Why would allow a woman to come in my life and take this away from me ? Hell No.
Some of us are busy to be bae π΅
Kuweni positive siku moja moja. Mnawaza mabaya tu na ndio yanayowatokea.Haya mambo huwa hayatabiriki, wengine uzeeni wanapeana talaka. Vipi kwenye kumilikishana mali, yeye anamiliki asilimia ngapi?
Namba nne nzuritoka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa
2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi
3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano
4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.
5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
Adam alishindwaKuweni positive siku moja moja. Mnawaza mabaya tu na ndio yanayowatokea.
Vipi kuhusu mali/kipatoMe nimepata faida, utamu wa mbususu kila siku.
Anyway, faida ni kile unacho~gain baada ya kutoa mtaji
Kichwa changu hakipo sawa/ My head empty equal
Unaweka walioshindwa tu. Weka na waliofanikiwa.Adam alishindwa
Samson alishindwa
Daudi alishindwa
Tyrese ameshindwa n.k
πππUtakiwi kuwa siriazi sana, haya majukwaa ni kwa ajili ya kuelimisha na kufurahisha pia; muhimu ni kuweka msongo wa mawazo pembeni na kuendelea kuishi.
Kama matajiri wakubwa huko duniani yaliwashinda, itakuwaje sisi wachumia tumbo?Unaweka walioshindwa tu. Weka na waliofanikiwa.
Inabidi upate mtu sahihi kupitia jukwaa hiliMahusiano hayajanipa chochote cha maana zaidi ya kunivuruga tu.