Ngoja nrudi kulala nliamka tu kukojoa..Rejea swali lake..Je one night stand nayo inahesabika?.
Ni kweli inaweza tokea watu wakawa na uhusiana labda wa mwezi but baada ya ku do ukaishia hapo.
Hii hatusemi ni ya siku moja isipokuwa yalianza mwezi mzima
....hapo ishu sio chips na soda, ishu ni kwamba kwa akili za mwanamke kama huyo baada ya wiki mbili si atakuambia ada ya watoto imeisha walipie... Wote wanaoacha mademu baada ya kuombwa pesa siku ya kwanza au ya pili haimaanishi hiyo pesa hauna... Ni vile tu unamuona huyu hana subira wala aibu, hakuna feeling nzur kama kumuhudumia manz bila kukuomba, sasa hauwez kukutana naye leo tu uanze kufunguka anakuchukulia danga tu, ndio maana wengi tunataka at least tufahamiane kwanza kabla ya miamalaHuyo jamaa hajiamini yani chips na soda kwaajir ya watoto tu zimemfanya akimbie wakati watoto hawana kosa kuwapa vizawadi watoto ni jambo jema
Na hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??Siku ya kwanza unaanza kutangaza shida. Hatujaoana unaanza majukumu ya mume. Mm ukianza kutangaza shida nakuweka kwenye blacklist kabisa
Nani kasema??Utamu tunapata wote ndiyo maana mnalilia mfikishwe Kigoma
PoleTulikutana mgawani macho yakakutana,nikamkonyeza akanirudishia mkonyezo..!
Haikuwa rahisi kumfuata alipokaa bali nilipomaliza nilienda kwa cashier nikalipa vyake na vyangu, kisha nikatoka nje nikamsubiri
Miaka hiyo hakukuwa na boda hivyo nilikodi baiskeli ya kumsindikiza aendako(alikuwa teyari keshatangulia)
Safari yetu iliishia shamba la migomba.. Kufumba na kufumbua alishasaula na kulala chini huku kachanua miguu.. Ilinichukua sekunde chache kujua ni chizi fuleshi
Mbio nilizotimua baada ya hapo sitakaa nikimbie vile tena maana kugeuka nyuma kaniungia uchi wa mbuzi huku akipiga kelele kwamba lazima nimuoe..[emoji24][emoji24][emoji1787]
[emoji17][emoji1545][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me: Nakupenda sana
Her: Nakupenda pia, naomba 10k
Me: Sina kitu
Her: Tuachane na sijawahi hata kukupenda.
It's Just 4 chatting within 20 seconds nikaachwa [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa si ndo kuhudumiaMimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"
Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
Baba wa kambo mgumu Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba wa kambo ungenunua tuu
Kingine mtu anajihami kwwmba ukishakula hutaonekana ndo maana matunzo yanaombwa mapemaaaNa hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??
Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie
Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
kwahiyo hapo ni kuviziana tu, atakaejichanganya fresh tuu!Kingine mtu anajihami kwwmba ukishakula hutaonekana ndo maana matunzo yanaombwa mapemaaa
noumer madameNa hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??
Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie
Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
Back then kabla sijaoa, tulitamaniana na dada mmoja ambaye alikuwa ndio kaanza ajira mpya, akiwa amepanga maeneo ya sinza kwa Remy.Wakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.
Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
KabisaKingine mtu anajihami kwwmba ukishakula hutaonekana ndo maana matunzo yanaombwa mapemaaa