Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Rejea swali lake..Je one night stand nayo inahesabika?.

Ni kweli inaweza tokea watu wakawa na uhusiana labda wa mwezi but baada ya ku do ukaishia hapo.
Hii hatusemi ni ya siku moja isipokuwa yalianza mwezi mzima
Ngoja nrudi kulala nliamka tu kukojoa..
Kesho tapangua hoja
 
Huyo jamaa hajiamini yani chips na soda kwaajir ya watoto tu zimemfanya akimbie wakati watoto hawana kosa kuwapa vizawadi watoto ni jambo jema
....hapo ishu sio chips na soda, ishu ni kwamba kwa akili za mwanamke kama huyo baada ya wiki mbili si atakuambia ada ya watoto imeisha walipie... Wote wanaoacha mademu baada ya kuombwa pesa siku ya kwanza au ya pili haimaanishi hiyo pesa hauna... Ni vile tu unamuona huyu hana subira wala aibu, hakuna feeling nzur kama kumuhudumia manz bila kukuomba, sasa hauwez kukutana naye leo tu uanze kufunguka anakuchukulia danga tu, ndio maana wengi tunataka at least tufahamiane kwanza kabla ya miamala
 
Siku ya kwanza unaanza kutangaza shida. Hatujaoana unaanza majukumu ya mume. Mm ukianza kutangaza shida nakuweka kwenye blacklist kabisa
Na hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??

Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie

Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
 
Pole
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa si ndo kuhudumia
 
Ilikuwa kama dk 25 hivi alinikubalia kwenye simu tukawa wachumba, tumeendelea kupiga story nikagundua alishatoka na rafki yangu, tukaachana apoapo
 
Na hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??

Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie

Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
Kingine mtu anajihami kwwmba ukishakula hutaonekana ndo maana matunzo yanaombwa mapemaaa
 
Back then kabla sijaoa, tulitamaniana na dada mmoja ambaye alikuwa ndio kaanza ajira mpya, akiwa amepanga maeneo ya sinza kwa Remy.

Wakati wote tulikuwa tunakutana kwenye kituo cha daladala sinza kwa remy, labda yeye akiwa anashuka kwenye gari au ndio anapanda kuondoka.

Siku hiyo, nikasema na liwalo liwe. Nilipomwona tu, nikaenda kupaki gari kwa mbele. Nikamfata kwa miguu. Tukatembea hadi kwake. Tulipofika tu, akaniambia kuwa siku hiyo ilikuwa zamu yake kununua umeme-basi nikajikamua nikatoa 20k, nikampa. Baada ya stori za hapa na pale nikala tunda halafu nikaondoka.

Kesho yake asubuhi, nilipowasha simu (kwa sababu enzi hizo tulikuwa tunashauriwa kuzima simu wakati wa kulala) zikaingia msgs zake kama tatu, zote zikiwa na ujumbe mmoja, kuwa mwenye nyumba kamkumbusha kulipa kodi, na anatakuwa alipe asubuhi hiyo, kwa hiyo ananisubiri kwa kituoni kwa remy nimpe laki 8.
Basi huo ukawa mwisho wetu. Nilimwacha in less than 24hrs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…