[emoji1787][emoji1787][emoji1787] msg zimeisha katika mazingira ya kutatanishajuzi tu nimeomba namba nkapewa tukachat kidogo akasema my gas imeishaa hapa yani hata sielewi nafanyajee.... na mimi msg zikaishaaa ghafla na simu sikupokea tenaa π π π
Kwahiyo mpaka leo bado upo busy?Miezi 2, alidai yupo busy na mimi nikaona niwe busy.
Mkuu acha tu nilikuwa najiuliza sana huyu mwanamke mzima kweli kichwani?Hatari sana, eti mume wangu then ulete chips na mishikaki bila kusahau soda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii n kweli,, mm kuna dem hua ananipa mbusussu ila nshamchana kabisa kwamba sina mpango wa kumuoa yy awe huru kufanya yake. Ana miaka 26 sasa asje huko mbele akalaumu kwamba mm nmemchezeaSema tu nimejiunga no fap challenge kwahyo siwez kula tena Kuna goma nimelitongoza leo asubuhi mchana limenipigia video call lipo uchi kabisa
Nime screen shot mapema leo leo nimemuacha hayo ndio mahusiano yangu nadhani yameisha mapema sana nimewahadhia wana najua wana wakija magheton watataka story na ushahidi
Ukiwa kama mwanaume we mwenyewe unachagua time scale ya mahusiano either siku au wiki
NB : usithubutu kumwambia mwanamke sikutaki au tuachane mwache akwambie mwenyewe au ajiondoe mwenyewe
Sometimes simba unakosa nyama inabidi ule nyasi tu
Hata mkiombwa badae mnatoa? Si yale yale tu. Kikubwa hamtaki majukumuTumekutana kazini kwake
nikakasemesha kakasemeka, jioni nikaombwa zawadi nikapeleka,kesho nikuombwa bando nikaunga kesho nikaombwa 50,000 isiyo hata na maelezo.
Nikaona hapa kuna hesabu za kuzidisha tu nikatulia.
Hivi wanawake wanaomba omba at the beginning huwa wanafikiria nini ambacho wengine hatukijui labda??
π πukiendekeza hawa viumbe utakufa stress sometimes kuwa kavu yani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] msg zimeisha katika mazingira ya kutatanisha
Namna unavyopewa hayo majukumu ndio inafanya tusiyapende. Yaani kitendo cha kunipa namba tu, unaanza kudaiwa luku, kodi mara hujala, utaanza kuumwa nkHahaha na msivyopenda majukumu nyie
Sure mkuu ni kukazaπ πukiendekeza hawa viumbe utakufa stress sometimes kuwa kavu yani
Niombe ukiwa umenijua nami nimekujua,Hata mkiombwa badae mnatoa? Si yale yale tu. Kikubwa hamtaki majukumu
Lazima akulaumu tuHii n kweli,, mm kuna dem hua ananipa mbusussu ila nshamchana kabisa kwamba sina mpango wa kumuoa yy awe huru kufanya yake. Ana miaka 26 sasa asje huko mbele akalaumu kwamba mm nmemchezea
π π πchangamoto sana ndo maana hata mwanamke wa kubebishana sana sijui kutumiana msg siku nzima yani hatudumu hata siku mojaLakini na wewe ushazoea kimasihara so vya kuweka kambi huwezii
Huo mda wa kubebishana huwa unatoka wapii...π π πchangamoto sana ndo maana hata mwanamke wa kubebishana sana sijui kutumiana msg siku nzima yani hatudumu hata siku moja
Daah ni kweli simu zikizidi unaharibu kazi.Kujali ni muhimu ila isipitilize jamenii.Kuna mda mtu unahitaji kujishughulisha eti pata picha upo ofisin unapambana na simu ndo kama za hivyo zinaingia si unaeza kuwehuka[emoji38]
HovyooooooHii n kweli,, mm kuna dem hua ananipa mbusussu ila nshamchana kabisa kwamba sina mpango wa kumuoa yy awe huru kufanya yake. Ana miaka 26 sasa asje huko mbele akalaumu kwamba mm nmemchezea