Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie wanawake mnakuwaga sijui na ujinga gani. Wanaume wenye hela mnatujua halafu tukiwatongoza mnakataa eti "Nina mume/boyfriend/mchumba wangu" halafu baadae tena unalalamika eti "Ukiombwa hela hutoi."
Ukitaka hela chagua mwanaume mwenye hela. Mwanaume mwenye hela utamjua kwa gari lake, na kwa nyumba anayoishi hata kama amepanga hapangi nyumba ya kichovu.
Asa we unamkubalia mtu kapanga chumba kimoja ana maneno meeengi ya kuhusu michongo yake huku anatembelea daladala na bodaboda na wewe unaingia tu getoni.
Acha ikae Hapa hapaHii peleka kwa rikboy
Umeona eeeh
Yani wao akipata dem akamla hapo hapo ndo mahusiano kweli??
πππ Mungu anakuaona................Hahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
mjomba anasemaje?? hope mmestop, that was so nast to hear from you in Jf and am not judging am just saying tu.Hahaha me sina mbavuu
π€£ ila wanaume na hiyo kauli yenu ya sitofanya kitu kabisa huwa inaniacha hoiNaona watu mnasimulia mlivyotongoza na kukataliwa (au kupotezea baada ya kupigwa vizinga). Hayo sio mahusiano. Mahusiano ni mpaka ule mzigo.
Mie mahusiano mafupi huwa ni yale ya nikiwa safarini. Unakuta umeenda mkoa fulani (au hata nchi fulani) unatongoza demu anakubali basi ukiondoka na mahusiano ndo yameisha. Maana hapo kinachofuata ni demu kupiga vizinga wakati anajijua kabisa hamuwezi kuonana.
Kuna mwingine nilikutana naye kwenye basi, halafu basi likaharibika usiku wa saa nne. Tukafika mwisho wa safari mida ya saa sita usiku, magari ya kuunganisha kwenda nyumbani kwao kabisa hayapo tena. Basi hapo nikamvuta kilaini kwamba tukalale wote guest hatufanyi kitu.
Kufika chumbani kitanda kimoja tumeoga tukala basi ile kwenye kula uchokoziuchokozi wa kulishana mtoto kaelewa somo tukapiga shoo ya kulalia. Asubuhi ilibidi kugongewa saa nne na wahudumu kuwa muda umeisha nikawaomba wanipe masaa mawili ya nyongeza maana mtoto alikuwa mtamu kinoma.
Tulivyoachana hapo guest mchana yeye akaenda kwao ndo mpaka leo hatujaonana tena na mawasiliano yashapotea.
Yalikuwa ni mahusiano yaliyodumu kwa masaa nane tu.
Bora umetupatia somoNa nyie wanawake mnakuwaga sijui na ujinga gani. Wanaume wenye hela mnatujua halafu tukiwatongoza mnakataa eti "Nina mume/boyfriend/mchumba wangu" halafu baadae tena unalalamika eti "Ukiombwa hela hutoi."
Ukitaka hela chagua mwanaume mwenye hela. Mwanaume mwenye hela utamjua kwa gari lake, na kwa nyumba anayoishi hata kama amepanga hapangi nyumba ya kichovu.
Asa we unamkubalia mtu kapanga chumba kimoja ana maneno meeengi ya kuhusu michongo yake huku anatembelea daladala na bodaboda na wewe unaingia tu getoni.
Tukifanya kazi za kuzibua vyoo mtatukubali?Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
kama una hela ukiombwa laki n ammekutana leo unatumaa tuuNaona watu mnasimulia mlivyotongoza na kukataliwa (au kupotezea baada ya kupigwa vizinga). Hayo sio mahusiano. Mahusiano ni mpaka ule mzigo.
Mie mahusiano mafupi huwa ni yale ya nikiwa safarini. Unakuta umeenda mkoa fulani (au hata nchi fulani) unatongoza demu anakubali basi ukiondoka na mahusiano ndo yameisha. Maana hapo kinachofuata ni demu kupiga vizinga wakati anajijua kabisa hamuwezi kuonana.
Kuna mwingine nilikutana naye kwenye basi, halafu basi likaharibika usiku wa saa nne. Tukafika mwisho wa safari mida ya saa sita usiku, magari ya kuunganisha kwenda nyumbani kwao kabisa hayapo tena. Basi hapo nikamvuta kilaini kwamba tukalale wote guest hatufanyi kitu.
Kufika chumbani kitanda kimoja tumeoga tukala basi ile kwenye kula uchokoziuchokozi wa kulishana mtoto kaelewa somo tukapiga shoo ya kulalia. Asubuhi ilibidi kugongewa saa nne na wahudumu kuwa muda umeisha nikawaomba wanipe masaa mawili ya nyongeza maana mtoto alikuwa mtamu kinoma.
Tulivyoachana hapo guest mchana yeye akaenda kwao ndo mpaka leo hatujaonana tena na mawasiliano yashapotea.
Yalikuwa ni mahusiano yaliyodumu kwa masaa nane tu.
we jamaa huwaga unanifurahisha sana hamna uzi atakaoshindwa kuuhusianisha na mbususuMbona nyie hamtaki kufanya kazi ata kama kuuza mbususu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π π πhata me naonaKama amekuelewa mbona wanatoa sana tiu
Eeeh acha tu nlimpemda beki tatu bwana mapenzi yalipoanza kunoga si bosi wake akajua aisee akakafukuza kimya kimya na kukapokonya sim ko hakajawahi patikana tena mwaka sasaWakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.
Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
Ko kiufupi yalidumu wiki moja tuWakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.
Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.