Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Dah imenigusa hii japo mm ni kijana wa miaka 24 na huu umri ndo nimeanza kulala na mwanamke japo sijaoa ila nikasalitiwa na huyu mwenza wangu...Naomba Allah aniepushe na hizi tamaa mbaya Alhamdulillahi
Amiin inshaallah, Allah atakuepusha
 
Kaka hongera sana kwa story nzuri, ila kwa kuongezea, kwenye biashara unatakiwa uchague mambo 2.
Moja, biashara yako imtegemee Mungu
Pili, biashara zako imtegemee shetani.
Asante mkuu, mm nimechagua kwa Mungu, nae sitanii wala cmjaribu Mungu, naimani atanipigania
 
Andika ya kimwili pia
 
mkuu Kelebe nimesoma habari yako mwanzo mpaka mwisho nimepata funzo kubwa sana sana.....tafadhali naomba tuwasiliane PM kuna jambo tushauriane, japo kwa ID hii hii..
 
Hongera na pole kwa uliyoyapitia, sitaki kuhukumu lakini ulivyohadithia yaonyesha unayafurahia sana maisha ya kutoka na michepuko na nadhani mambo yakikaa njema haswa huko mbeleni utarudia au ikiwezekana ili usirudie oa wapili tu. Kwasasa umejifunza na unaogopa kufilisika tena inasaidia kukuerka kwenye mstari.

Yote kwa yote hongera kwa kupitia mengi, mara nyingine mtu unatakiwa upitie changamoto ujifunze ili ukae kwenye mstari maana wanasema...maisha yanaanzia miaka 40....hongera zaidi kwa mkeo kuweza kuendelea kuvumilia wengine wanakimbia pesa ikikata.
 
Kuna ambaye nimemweka blacklist maana nilishamwambia usitume SMS wala kupiga simu tofauti na SAA kumi...yy haelewi

Na lalamiko lake ni hilohilo hajawahi kukojoleshwa,mbaya zaidi anapenda hela hataree
Hayo makubaliano yanawezekana siku mbili za mwanzo, siku zinazofuata ni majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…