Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Wewe andika uponye watu Kuna watakaofaidika na Hilo darasa huru ndani ya uzi
Sio ustaarabu kuweka uzi ndani ya uzi,unaharibu maudhui ya primary thread
 
Sehemu ya mwisho...........
........................

Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola
Nimependa sana jinsi ulivyomalizia, kiukweli kabisaa hakuna dhambi mbaya kama uzinzi
 
Hadithi ingenoga zaidi kama umgetuambia, kipindi umepigwa pingu na kupelekwa jela, kuna aliyekuja kukuona kati ya hao malaya wako?
 
Waliooa jasho linawatoka.

Though stori inafundisha sana...

Umalaya sio dili wala nini.
 
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Exactly, hapa nimeamua tu kuwashirikisha watu wajifunze wao,mm kwangu yalishapita na nikishajifunza na sasa namshukuru Mungu nimeacha,naomba Mungu anijaalie niache moja kwa moja
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Utaachaje sasa umeona PM yangu haaahaaa
 
Inaendelea 5.,........,...
..............
Nikawa kama ndio nimeuwasha moto kwa wake za watu,Nakumbuka mahali nilipojenga na kuhamia kuna jirani yangu ambae mkewe alikua rafiki wa mke wangu,huyu nampa nick name Mwajuma,
Story tamu[emoji12]
 
No mkuu ain't serious at all..mi nakutania bana[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Uzi wako umenichekesha sana sana unajua kupangilia visa asee

Bottom line mkuu sali sana usirudi kule shetani ana mapigo sana[emoji848]
Thank u mkuu
 
Duh!!
 
Mashaa'Allah
 
Oooohh kukesha kusoma story,oooh nimemaliza[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…