Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Nimekuja kujifunza kitu muhimu sana. CCM na ule mkutano mkuu wao wa kuchagua wagombea wa nafasi ya Urais huwa ndio wenye maamuzi ya mwisho...
Kuanzia mwanzo mpaka mwisho sugu alikuepo kituoni akahojiwa akasema uchaguzi unaenda vizuri,

Upinzani wa Tanzania tulishawazoea
 
Kuna tofauti ya Barabara ya Ubungo na Mega Projects.

Mega Projects kama ujenzi wa SGR unaohitaji consortium banks ku-finance. Sidhani kama unajua gharama ya huu mradi.

Au Nyerere Hydropower inayochukua karibu 30% ya bajeti yetu ya mwaka.
Kwahio SGR watapanda wabeligiji?
 

Ungeelewa yaliotokea majimboni ungekaa kimyaa.

Nikulipe mshahara gari nikupe nyumba nikupe alafu utangaze mpinzani KASHINDA.

Hayaa maneno yamechangia Sana wateule kuharibu huu uchaguzi.
 
Wacha wote tulimie meno. Mungu anipe uhai mrefu wa kushuhudia nchi yangu inapoelekea
 
Yaani Pimbi wa kutupa mhutu amepanga awape upinzani viti vitano vya ubunge wasivikubali , tiss mnasaidia mgonjwa wa bipolar disorder kuongoza ? Kabisa?
 
Noted
 
Kuanzia mwanzo mpaka mwisho sugu alikuepo kituoni akahojiwa akasema uchaguzi unaenda vizuri,

Upinzani wa Tanzania tulishawazoea
Kura hazikupigwa kituo alichokuwepo sugu tu, hilo jibu alilitoa kwa muktadha wa eneo ambalo yeye alipigia kura
 
 
Jiwe hanatofauti na PAPA DOC Aliekuwa Rais wa Haiti
 
Sikuwahi kuota kama kuna siku Tanzania itakuwa kwenye kiwango hiki cha uharamia.
 
This was expected. Aliyeamini kitu tofauti alikuwa akiota mchana au alikuwa akijifariji moyoni tu ili kujipunguzia stress

Huwezi kushinda uchaguzi kwa TUME hii. Lissu, Zitto, Mbowe etc wote wanajua hili.
Yes, expected but NOT to this level.
 
Huyu bwana aelewe kuwa Nkurunziza hakuuwawa na mtu bali Mungu. sisi tuamini Mungu huyu huyu aliyetulinda kwa corona atashughulika na viongozi wadhalimu
 
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
watanzania bado wanaimani na CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…